HABARI ZA ULAYA
Habari moto kutoka ligi za Ulaya – EPL, La Liga, Serie A, Bundesliga na mashindano mengine barani Ulaya.
-
BABA YAKE LUKAKU, NYOTA WA AFCON 1994 NA 1996 AFARIKI DUNIA
MSHAMBULIAJI wa Napoli, Mbelgiji Romelu Lukaku amefiwa na baba yake mzazi, Roger Menama Lukaku, aliyefariki dunia jana Jumatatu Septemba 29…
Read More » -
BONDIA RICKY HATTON AFARIKI DUNIA NYUMBANI KWAKE
BONDIA Richard John Hatton, maaarufu Ricky Hatton amefariki dunia leo nyumbani kwake Hyde, Tameside, Greater Manchester akiwa ana umri wa…
Read More » -
MKONGO YOANE WISSA NDIYE MRITHI WA ISAK NEWCASTLE
MSHAMBULIAJI wa Kimataifa wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Yoane Wissa (28) mzaliwa wa Ufaransa amejiunga na Newcastle United…
Read More » -
ISAK AJIUNGA NA LIVERPOOL KWA DAU LA REKODI UINGEREZA
KLABU ya Liverpool imemsajili mshambuliaji wa Kimataifa wa Sweden, Alexander Isak (25) mwenye asili ya Eritrea kutoka Newcastle United kwa…
Read More » -
TEN HAG AWEKA REKODI YA KUFUKUZWA MAPEMA BUNDESLIGA
ALIYEKUWA Kocha wa Manchester United, Mholanzi Erik ten Hag amefutwa kazi na Bayer Leverkusen baada ya mechi mbili pekee za…
Read More » -
PSG WAICHAPA SPURS KWA MATUTA ITALIA NA KUTWAA UEFA SUPER CUP
TIMU ya Paris Saint-Germain ya Ufaransa usiku wa jana imetwaa taji la UEFA Super Cup 2025 baada ya ushindi wa…
Read More » -
CRYSTAL PALACE WAICHAPA LIVERPOOL KWA PENALTI NA KUBEBA NGAO YA JAMII
TIMU ya Crystal Palace imefanikiwa kutwaa Ngao ya Jamii England baada ya ushindi wa penalti 3-2 kufuatia sare ya 2–2…
Read More » -
NI ENGLAND BINGWA TENA UEFA EURO WANAWAKE 2025
TIMU ya taifa ya England imefanikiwa kutwaa Kombe la Mataifa ya Ulaya kwa Wanawake ‘UEFA Euro Women’s’ baada ya ushindi…
Read More » -
NI CHELSEA BINGWA WA DUNIA 2025, PSG YAPIGWA 3-0 MAREKANI
TIMU ya Chelsea ya England imefanikiwa kutwaa Kombe la Klabu Bingwa ya Dunia ya FIFA baada ya ushindi wa mabao…
Read More » -
PSG WATINGA FAINALI KOMBE LA DUNIA BAADA YA KUITANDIKA REAL MADRID 4-0
TIMU ya Paris Saint-Germain ya Ufaransa imeendelea kudhihirisha umwamba wake kwa wapinzani wake wa Ulaya baada ya usiku wa Jumatano…
Read More »