“MARINE”    
“SAFINA”
“NGANO
“UNGA
“UNGA
“WATER”
HABARI ZA NYUMBANI

AZAM FC NA SINGIDA BLACK STARS WOTE KUANZIA UGENINI KOMBE LA SHIRIKISHO AFRIKA

WAWAKILISHI wa Tanzania katika Kombe la Shirikisho Afrika wote wataanzia ugenini – Azam FC ikienda Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) kumenyana na wenyeji, AS Maniema Union mechi za Kundi B Novemba 23, wakati Singida Black Stars watakwenda Algeria kumenyana na CR Belouizdad mechi ya Kundi C.

Related Articles

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button