// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); YANGA NA STAND UNITED, SIMBA NA MBEYA CITY ROBO FAINALI CRDB - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE YANGA NA STAND UNITED, SIMBA NA MBEYA CITY ROBO FAINALI CRDB - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
    Thursday, April 03, 2025

    YANGA NA STAND UNITED, SIMBA NA MBEYA CITY ROBO FAINALI CRDB


    MABINGWA watetezi, Yanga watamenyana na Stand United katika mchezo wa Robo Fainali ya Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), wakati watani wao, Simba SC watamenyana na Mbeya City - vigogo wote wakipangiwa timu za Ligi ya Championship.
    Robo Fainali nyingine za michuano hiyo iliyo katika mwaka wa pili wa udhamini wa Benki wa CRDB ni JKT Tanzania na Pamba Jiji Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo, Mbweni, Dar es Salaam na Singida Black Stars dhidi ya Kagera Sugar Uwanja wa Airtel mjini Singida.
    Katika Nusu Fainali, Mshindi kati ya Yanga na Stand United atakutana na mshindi kati ya JKT Tanznaia Pamba Jiji na mshindi kati ya Simba SC na Mbeya City atakutana na mshindi kati ya Singida Black Stars na Kagera Sugar.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: YANGA NA STAND UNITED, SIMBA NA MBEYA CITY ROBO FAINALI CRDB Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry