Monday, March 17, 2025

    SASA NI SAJENTI IBRAHIM ABDALLAH HAMAD, BACCA APANDISHWA CHEO KMKM


    BEKI wa Yanga, Ibrahim Abdallah Hamad ‘Bacca’ amepandishwa cheo kazini kwake, Kikosi Maalumu cha Kuzuia Magendo Zanzibar (KMKM), kutoka Koplo na kuwa Sajenti.
    Hatua hiyo ya KMKM kumpandisha cheo Bacca ni taratibu za kawaida kulingana na muda na ufanisi wake kazini — huku akiendelea kufanya vyema kisoka katika klabu yake na timu ya taifa, Taifa Stars.


    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SASA NI SAJENTI IBRAHIM ABDALLAH HAMAD, BACCA APANDISHWA CHEO KMKM Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry