// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); NI AHMED ARAJIGA PILATO WA PAMBANO LA WATANI JUMAMOSI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE NI AHMED ARAJIGA PILATO WA PAMBANO LA WATANI JUMAMOSI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

        Wednesday, March 05, 2025

        NI AHMED ARAJIGA PILATO WA PAMBANO LA WATANI JUMAMOSI


        REFA Ahmed Arajiga ndiye atakayepuliza kipyenga kwenye mechi ya Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara baina ya watani wa jadi, Yanga na Simba Jumamosi wiki hii Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam.
        Arajiga, Refa Bora wa nchi katika mchezo atasaidiwa na Mohamed Mkono wa Tanga na Kassim Mpanga wa Dar es Salaam watakaokuwa wakikimbia na vibendera pembezoni mwa Uwanja, wakati mezani atakuwepo Amina Kyando wa Morogoro.
        • Blogger Comments
        • Facebook Comments

        0 comments:

        Item Reviewed: NI AHMED ARAJIGA PILATO WA PAMBANO LA WATANI JUMAMOSI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry