// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); TANZANIA PRISONS YATOA SARE NA TABORA UNITED, 1-1SOKOINE - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE TANZANIA PRISONS YATOA SARE NA TABORA UNITED, 1-1SOKOINE - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
    Friday, February 21, 2025

    TANZANIA PRISONS YATOA SARE NA TABORA UNITED, 1-1SOKOINE


    WENYEJI, Tanzania Prisons wamelazimishwa sare ya kufungana bao 1-1 na Tabora United katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara mchana wa leo Uwanja wa Sokoine Jijini Mbeya.
    Beki Mnigeria, Emmanuel Ugochucku Chigozie alianza kujifunga dakika ya 67 kuiipatia Tanzania Prisons bao la kuongoza, kabla ya Emmanuel Samuel kuisawazishia Tabora United dakika ya 82.
    Kwa matokeo hayo, Tanzania Prisons inafikisha pointi 18, ingawa inabaki nafasi ya 14, wakati Tabora United inafikisha pointi 34, nayo inabaki nafasi ya tano baada ya wote kucheza mechi 21. 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: TANZANIA PRISONS YATOA SARE NA TABORA UNITED, 1-1SOKOINE Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry