BAO pekee la mshambuliaji Mkenya, Mathew Tegisi Momanyi dakika ya 23 limetosha kuipa Pamba Jiji FC ushindi wa ugenini wa 1-0 dhidi ya wenyeji, Dodoma Jiji katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma.
Kwa ushindi huo, Pamba Jiji inafikisha pointi 15 katika mchezo wa 17, japokuwa inabaki nafasi ya 14 na Dodoma Jiji inabaki na pointi zake 19 za mechi 17 nafasi ya tisa.
0 comments:
Post a Comment