// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); NAMUNGO FC YAICHAPA TANZANIA PRISONS 1-0 SOKOINE - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE NAMUNGO FC YAICHAPA TANZANIA PRISONS 1-0 SOKOINE - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
    Friday, February 14, 2025

    NAMUNGO FC YAICHAPA TANZANIA PRISONS 1-0 SOKOINE


    BAO pekee la Ibrahim Joshua dakika ya tatu limeipa Namungo FC ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, Tanzania Prisons katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara jioni ya leo Uwanja wa Sokoine Jijini Mbeya.
    Kwa ushindi huo, Namungo FC inafikisha pointi 21 na kusogea nafasi ya nane, wakati Tanzania Prisons inabaki na pointi zake 17 nafasi ya 14 kwenye Ligi ya timu 16 baada ya wote kucheza mechi 19.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: NAMUNGO FC YAICHAPA TANZANIA PRISONS 1-0 SOKOINE Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry