// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); NAMUNGO FC YABANWA NA COASTAL UNION, ZATOKA SULUHU RUANGWA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE NAMUNGO FC YABANWA NA COASTAL UNION, ZATOKA SULUHU RUANGWA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
    Sunday, February 23, 2025

    NAMUNGO FC YABANWA NA COASTAL UNION, ZATOKA SULUHU RUANGWA


    WENYEJI, Namungo wamelazimishwa sare ya bila kufungana na Costal Union katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara usiku huu Uwanja wa Majaliwa, Ruangwa mkoani Lindi.
    Kwa matokeo hayo, Namungo wanafikisha pointi 22 na kupanda kwa nafasi moja hadi ya 12, wakati Coastal Union inafikisha pointi 24, ingawa inabaki nafasi ya nane baada ya wote kucheza mechi 21.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: NAMUNGO FC YABANWA NA COASTAL UNION, ZATOKA SULUHU RUANGWA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry