// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); KMC YAILAMBA SINGIDA BLACK STARS MABAO 2-0 MWENGE - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE KMC YAILAMBA SINGIDA BLACK STARS MABAO 2-0 MWENGE - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
    Monday, February 10, 2025

    KMC YAILAMBA SINGIDA BLACK STARS MABAO 2-0 MWENGE

    WENYEJI, KMC wamebuka na ushindi wa 2-0 dhidi ya Singida Black Stars katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara jioni ya leo Uwanja wa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni, KMC Complex, Mwenge, Dar es Salaam.
    Mabao ya KMC yaliyoizamisha Singida Black Stars leo  yote yamefungwa na Paul Oscar dakika ya 35 na 40.
    KMC inafikisha pointi 20 katika mchezo wa 18 pia na kusogea nafasi ya tisa, wakati Singida Black Stars inabaki na pointi zake 34 nafasi ya nne baada ya kucheza mechi 18 pia.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: KMC YAILAMBA SINGIDA BLACK STARS MABAO 2-0 MWENGE Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry