
Friday, January 31, 2025

KLABU ya Singida Black Stars imemuuza mshambuliaji wake chipukizi, Suleiman Mwalimu Abdallah 'Gomez' kwa dau ambalo halijatajwa kuji...
Tuesday, January 28, 2025
AZAM YAIFUMUA UHAMIAJI MABAO 6-0 MECHI YA KIRAFIKI CHAMAZI
Tuesday, January 28, 2025
TIMU ya Azam FC imeibuka na ushindi wa mabao 6-0 dhidi ya Uhamiaji ya Zanzibar katika mchezo wa kirafiki leo Uwanja wa Azam Complex, Chamazi...
TANZANIA YAWEKWA NA NIGERIA, TUNISIA NA UGANDA KUNDI C AFCON 2025
Tuesday, January 28, 2025
TANZANIA imepangwa Kundi C katika Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 zitakazofanyika kuanzia Desemba 21 mwaka huu hadi Janua...
Monday, January 27, 2025
SIMBA SC 6-0 KILIMANJARO WONDERS (KOMBE LA TFF)
Monday, January 27, 2025
YANGA SC 5-0 COPCO UNITED (KOMBE LA TFF)
Monday, January 27, 2025
Sunday, January 26, 2025
SIMBA SC YASONGA MBELE KIBABE KOMBE LA CRDB
Sunday, January 26, 2025
TIMU ya Simba SC imekamilisha idadi ya timu 32 za Raundi ya Nne ya Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), michuano inayodhaminiwa na Be...
Saturday, January 25, 2025
AZAM FC YAICHAPA JKT TANZANIA 3-2 MECHI YA KIRAFIKI MBWENI
Saturday, January 25, 2025
TIMU ya Azam FC imeibuka na ushindi wa mabao 3-2 dhidi ya wenyeji, JKT Tanzania katika mchezo wa kirafiki leo Uwanja wa Meja Jenerali Isamuh...
YANGA SC YAICHAPA COCPO 5-0 NA KUTINGA 32 BORA KOMBE LA CRDB
Saturday, January 25, 2025
MABINGWA watetezi, Yanga SC wamefuzu Raundi ya Nne ya Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), michuano inayodhaminiwa na Benki ya CRDB ...
Tuesday, January 21, 2025
MZIZE MCHEZAJI BORA, RAMOVIC KOCHA BORA LIGI KUU DESEMBA 2024
Tuesday, January 21, 2025
MSHAMBULIAJI wa Yanga, Clement Francis Mzize ameshinda Tuzo ya Mchezaji Bora wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara mwezi Desemba 2024, huku Kocha...
Sunday, January 19, 2025
SIMBA SC YAWATANDIKA WAALGERIA 2-0 KIBU NA ATEBA
Sunday, January 19, 2025
WENYEJI, Simba SC wameibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya CS Constantine ya Algeria katika mchezo wa mwisho wa Kundi A Kombe la Shirikish...
Saturday, January 18, 2025
YANGA WAIKOSA ROBO FAINALI LIGI YA MABINGWA
Saturday, January 18, 2025
SAFARI ya Yanga katika Ligi ya Mabingwa Afrika imeishia hatua ya 16 Bora baada ya kumaliza nafasi ya tatu kwenye Kundi A kufuatia sare ya bi...
Thursday, January 16, 2025
RAIS MWINYI AWAZAWADIA SH MILIONI 50 WACHEZAJI ZANZIBAR HEROES
Thursday, January 16, 2025
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Hassan Mwinyi ameizawadia Timu ya Taifa ya Zanzibar, Zanzibar Heroes ...
YANGA YAFUNGA DIRISHA DOGO KWA USAJILI WA JONATHAN IKANGALOMBO KAPELA
Thursday, January 16, 2025
KLABU ya Yanga imemtambulisha winga wa kulia, Jonathan Ikangalombo Kapela kutoka AS Vita Club ya kwao, Kinshasa, Jamhuri ya Kidemokrasia ya ...
Wednesday, January 15, 2025
TANZANIA YAPANGWA KUNDI LA KAWAIDA CHAN, KENYA SHUGHULI WANAYO, UGANDA…
Wednesday, January 15, 2025
WENYEJI wenza, Tanzania wamepangwa Kundi B katika Fainali za Michuano ya Ubingwa wa Mataifa ya Afrika (CHAN) pamoja na Madagascar, Mauritan...
M-BET YATAMBULISHA TOVUTI YENYE HUDUMA BORA NA BOMBA KWA WATEJA
Wednesday, January 15, 2025
Meneja Masoko wa M-Bet Tanzania, Levis Paul akizungumza wakati wa utambulisho mpya wa tovuti ya kampuni hiyo ambayo imeboreshwa na kuwa ya k...
CAF YASOGEZA MBELE FAINALI ZA CHAN ILI MAANDALIZI YAKAMILIIKE VIZURI
Wednesday, January 15, 2025
SHIRIKISHO la Soka Afrika (CAF) jana lilitangaza kuahirisha Fainali za Michuano ya Ubingwa wa Mataifa ya Afrika (CHAN) 2024 zinazoandaliwa k...
Tuesday, January 14, 2025
SIMBA KUIKABILI CS CONSTANTINE UWANJA MTUPU BILA MASHABIKI
Tuesday, January 14, 2025
SHIRIKISHO la Soka Afrika (CAF) limeifingia klabu ya Simba kuingiza watazamaji katika mechi zake mbili za Kombe la Shirikisho Afrika baada y...
Monday, January 13, 2025
NI ZANZIBAR HEROES BINGWA KOMBE LA MAPINDUZI
Monday, January 13, 2025
WENYEJI, Zanzibar wamefanikiwa kutwa Kombe la Mapinduzi ya Zanzibar baada ya ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Burkina Faso usiku wa leo Uwanja ...
MRISHO NGASSA, WASSWA WA UGANDA NA MARIGA KUCHEZESHA DROO YA CHAN
Monday, January 13, 2025
NYOTA wa zamani wa soka Afrika Mashariki, Hassan Wasswa wa Uganda, Mrisho Ngassa wa Tanzania na McDonald Mariga wa Kenya wameteuliwa kuwa Wa...
YANGA YAICHAPA AL HILAL 1-0 MAURITANIA
Monday, January 13, 2025
KLABU ya Yanga imeweka hai matumaini ya kufuzu Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Al-Hilal Omdurma...
Sunday, January 12, 2025
SIMBA SC YATINGA ROBO FAINALI KOMBE LA SHIRIKISHO AFRIKA
Sunday, January 12, 2025
TIMU ya Simba SC imefanikiwa kutinga Robo Fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika licha ya sare ya kufungana bao 1-1 na wenyeji, Bravos do Maq...
Saturday, January 11, 2025
AZAM FC YAMSAJILI CHIPUKIZI 'FUNDI WA MPIRA' ZIDANE SERERI
Saturday, January 11, 2025
KLABU ya Azam FC imemtambulisha kiungo mshambuliaji, Zidane Sereri (19) kutoka Dodoma Jiji kuwa mchezaji wake mpya kwa mkataba wa miaka mita...
Friday, January 10, 2025
ZANZIBAR HEROES YATINGA FAINALI KOMBE LA MAPINDUZI, HARAMBEE STARS ‘OUT’
Friday, January 10, 2025
WENYEJI, Zanzibar wamefanikiwa kutinga Fainali ya Kombe la Mapinduzi baada ya ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Kenya usiku huu Uwanja wa Gombani ...
Thursday, January 09, 2025
TANZANIA BARA ‘KICHWA CHA MWENDAWAZIMU’ KOMBE LA MAPINDUZI
Thursday, January 09, 2025
TIMU ya Tanzania Bara imekamilisha mechi zake tatu za Kombe la Mapinduzi kwa kupoteza zote baada ya leo pia kuchapwa mabao 2-0 na Burkina Fa...
AZAM FC YASAJILI BEKI MPYA MUIVORY COAST ANAITWA ZOUZOU
Thursday, January 09, 2025
KLABU ya Azam FC imemtambulisha beki Zouzou Landry kutoka AFAD Djekanou ya Ivory Coast kuwa mchezaji wake wa kwanza mpya katika dirisha dogo...
Tuesday, January 07, 2025
KILIMANJARO STARS YATOLEWA MAPEMA KOMBE LA MAPINDUZI PEMBA
Tuesday, January 07, 2025
TIMU ya Tanzania Bara imetupwa nje ya michuano ya Kombe la Mapinduzi baada ya kuchapwa mabao 2-0 na Kenya leo Uwanja wa Gombani, Pemba, Zanz...
ZANZIBAR HEROES YACHAPWA 1-0 NA BURKINA FASO KOMBE LA MAPINDUZI
Tuesday, January 07, 2025
WENYEJI, Zanzibar usiku wa Jumatatu wamechapwa bao 1-0 na Burkina Faso katika michuano ya Kombe la Mapinduzi inayoendelea Uwanja wa Gombani,...
Sunday, January 05, 2025
SIMBA SC YAICHAPA SFAXIEN 1-0 TUNISIA BAO LA AHOUA
Sunday, January 05, 2025
TIMU ya Simba imeibuka na ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, CS Sfaxien katika mchezo wa Kundi A Kombe la Shirikisho Afrika leo Uwanja wa Olym...
Saturday, January 04, 2025
MZIZE AFUNGA MAWILI, AZIZ KI MOJA YANGA YAICHAPA TP MAZEMBE 3-1
Saturday, January 04, 2025
WENYEJI, Yanga wameweka hai matumaini ya kufuzu Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya TP Mazembe ya...
Friday, January 03, 2025
ZANZIBAR HEROES YAICHAPA STARS 1-0 KOMBE LA MAPINDUZI
Friday, January 03, 2025
BAO la kiungo Feisal Salum Abdallah dakika ya 52 limetosha kuipa Zanzibar Heroes ushindi wa 1-0 dhidi ya Tanzania Bara ‘Kilimanjaro Stars ka...
Wednesday, January 01, 2025
LIGI YASIMAMA HADI MACHI KUPISHA MICHUANO YA CHAN NA KOMBE LA MAPINDUZI
Wednesday, January 01, 2025
Ligi Kuu inasimama Simba SC ikiwa kileleni kwa pointi moja zaidi ya mabingwa watetezi, Yanga baada ya timu zote kucheza mechi 15. BODI ya Li...
Subscribe to:
Posts (Atom)