.%20%23WenyeNchi%20%23Ng.jpg)
Wednesday, April 16, 2025
.%20%23WenyeNchi%20%23Ng.jpg)
KAMPUNI ya Jayrutty Investment Limited imeahidi kuijenga klabu ya Simba Uwanja wa kisasa wenye uwezo wa kuingiza mashabiki 10,000. Ahadi hi...
AZAM
COASTAL UNION
HABARI MOTOMOTO
HABARI ZA NYUMBANI
KOMBE LA MAPINDUZI
SINGIDA UNITED
YANGA
ZANZIBAR
YANGA NA KVZ, AZAM NA KMKM ROBO FAINALI KOMBE LA MAPINDUZI
Wednesday, April 16, 2025
VIGOGO, Yanga watamenyana na wenyeji, KVZ katika mchezo wa Robo Fainali ya Kombe la Muungano Aprili 25 kuanzia Saa 2:15 usiku Uwanja wa New ...
AZAM
COASTAL UNION
HABARI MOTOMOTO
HABARI ZA NYUMBANI
KOMBE LA MAPINDUZI
SINGIDA UNITED
YANGA
ZANZIBAR
VODACOM YAZINDUA ‘TWENDE BUTIAMA 2025’, LENGO KUBORESHA ELIMU, AFYA NA MAZINGIRA
Wednesday, April 16, 2025
KWA miaka ishirini na tano, Vodacom Tanzania PLC imeendelea kuonesha dhamira yake ya kuchochea maendeleo endelevu katika jamii. Msafara wa T...
YANGA NA JKT TANGA, SIMBA NA SINGIDA MANYARA MEI 16
Wednesday, April 16, 2025
MABINGWA watetezi, Yanga SC watasafiri hadi Tanga kwa ajili ya mchezo wa Nusu Fainali ya Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) dhidi ya...
Tuesday, April 15, 2025
YANGA SC 8-1 STAND UNITED (KOMBE LA TFF)
Tuesday, April 15, 2025
AZIZ KI WA MOTO, CHAMA AMEWAKA YANGA YAITANDIKA STAND UNITED 8-1 MWENGE
Tuesday, April 15, 2025
MABINGWA watetezi, Yanga SC wamefanikiwa kuingia Nusu Fainali ya Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), michuano inayodhaminiwa na Benk...
Monday, April 14, 2025
JKT TANZANIA YAITANGULIA YANGA FAINALI KOMBE LA CRDB
Monday, April 14, 2025
TIMU ya JKT Tanzania imefanikiwa kutinga Nusu Fainali ya Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), michuano inayodhaminiwa na Benki ya CRD...
NI SINGIDA BLACK STARS NA SIMBA NUSU FAINALI KOMBE LA CRDB
Monday, April 14, 2025
TIMU ya Singida Black Stars imefanikiwa kuingia Nusu Fainali ya Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), michuano inayodhaminiwa na Benki...
SIMBA SC NA STELLENBOSCH KUPIGWA UWANJA WA AMAAN JUMAPILI
Monday, April 14, 2025
MCHEZO wa kwanza wa Nusu Fainali Kombe la Shirikisho Afrika baina ya wenyeji, Simba SC na Stellenbosch ya Afrika Kusini utapigwa Uwanja wa N...
YANGA KUJENGA UWANJA WAKE MWAKANI KWA MSAADA WA SERIKALI
Monday, April 14, 2025
RAIS wa klabu ya Yanga, Hersi Ally Said amesema kwamba mwaka ujao watajenga Uwanja wao kwa msaada wa Serikali. Akizungumza kwenye Mkutano wa...
TANZANIA YAPANGWA KUNDI A NA MISRI, ZAMBIA NA AFRIKA KUSINI AFCON U20
Monday, April 14, 2025
TANZANIA imepangwa Kundi A katika Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika kwa vijana chini ya umri wa miaka (AFCON U20) zinazotarajiwa kufanyi...
SIMBA SC 3-1 MBEYA CITY (KOMBE LA TFF)
Monday, April 14, 2025
Sunday, April 13, 2025
SIMBA YATINGA NUSU FAINALI KOMBE LA CRDB, YAICHAPA MBEYA CITY 3-1
Sunday, April 13, 2025
TIMU ya Simba SC imefanikiwa kwenda Nusu Fainali ya Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), michuano inayodhaminiwa na Benki ya CRDB baa...
NAHODHA WA NIGERIA ILIYOTWAA KOMBE LA MATAIFA AFRIKA 1980 AFARIKI DUNIA
Sunday, April 13, 2025
NAHODHA na Kocha wa zamani wa timu ya ya Nigeria, Christian Chukwuemeka Chukwu amefariki dunia jana (Aprili 12, 2025) akiwa ana umri wa miak...
Friday, April 11, 2025
RAIS DK. SAMIA AWAKARIBISHA MAN UNITED KUFUNGUA AKADEMI NCNINI
Friday, April 11, 2025
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan leo amekabidhiwa zawadi ya jezi ya klabu ya Manchester United ya England il...
MMILIKI WA MAN UNITED AKABIDHIWA JEZI YA YANGA
Friday, April 11, 2025
MMILIKI mwenza wa klabu ya Manchester United ya England, Sir. Jim Ratcliffe leo amekabidhiwa jezi ya klabu bingwa ya Tanzania, Yanga SC yeny...
MUKWALA MCHEZAJI BORA, FADLU KOCHA BORA LIGI KUU MACHI
Friday, April 11, 2025
MSHAMBULIAJI Mganda wa Simba, Steven Dese Mukwala ameshinda Tuzo y Mchezaji Bora wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara kwa mwezi Machi — huku koc...
JKT TANZANIA NA NAMUNGO HAKUNA MBABE, SARE 2-2 MBWENI
Friday, April 11, 2025
TIMU ya JKT Tanzania imetoa sare ya kufungana mabao 2-2 na Namungo FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara Alhamisi Uwanja wa Meja...
Thursday, April 10, 2025
SIMBA SC 2-0 AL MASRY (PENALTI 4-1) KOMBE LA SHIRIKISHO AFRIKA
Thursday, April 10, 2025
AZAM FC 1-2 YANGA SC (LIGI KUU YA NBC TZ BARA)
Thursday, April 10, 2025
YANGA SC YAICHAPA AZAM FC 2-1 CHAMAZI
Thursday, April 10, 2025
MABINGWA watetezi, Yanga SC wameibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya wenyeji, Azam FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo U...
MASHUJAA FC YAIKUNG’UTA TABORA UNITED 3-0 KIGOMA
Thursday, April 10, 2025
WENYEJI, Mashujaa FC wameibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Tabora United katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara jioni ya leo Uw...
COASTAL UNION YAICHARAZA SINGIDA BLACK STARS 2-1 MKWAKWANI
Thursday, April 10, 2025
WENYEJI, Coastal Union wameibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Singida Black Stars katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara jioni y...
Wednesday, April 09, 2025
SERIKALI YAUFUNGA UWANJA WA MKAPA KWA MAREKEBISHO YA PITCH
Wednesday, April 09, 2025
SERIKALI imeufunga Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam ili kupisha marekebisho katika eneo la kuchezea na imeziagiza timu zote zilizoomb...
NI STELLENBOSCH DARAJA LA SIMBA KWENDA FAINALI CAF
Wednesday, April 09, 2025
TIMU ya Simba SC itakutana na Stellenbosch ya Afrika Kusini katika Nusu Fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika baadaye mwezi huu. Hiyo ni baa...
DODOMA JIJI YAITWANGA KAGERA SUGAR 2-0 JAMHURI
Wednesday, April 09, 2025
WENYEJI, Dodoma Jiji FC wameibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Kagera Sugar katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara usiku wa leo ...
RAIS DK SAMIA AWAMWAGIA PONGEZI WEKUNDU WA MSIMBAZI
Wednesday, April 09, 2025
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan ameipongeza klabu ya Simba SC kwa kufuzu Nusu Fainali ya Kombe la Shirikish...
TANZANIA PRISONS YAICHAPA KENGOLD 3-1 MBEYA DERBY SOKOINE
Wednesday, April 09, 2025
TIMU ya Tanzania Prisons imeibuka na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Kengold katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara jioni ya leo Uwanj...
SIMBA SC YATINGA NUSU FAINALI KOMBE LA SHIRIKISHO KWA MATUTA
Wednesday, April 09, 2025
TIMU ya Simba SC imefanikiwa kwenda Nusu Fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika baada ya ushindi wa penalti 4-1 dhidi ya Al Masry ya Misri ji...
NI AL AHLY NA MAMELODI SUNDOWNS NUSU FAINALI LIGI YA MABINGWA AFRIKA
Wednesday, April 09, 2025
MABINGWA watetezi, Al Ahly ya Misri usiku wa kuamkia leo wamefanikiwa kutinga Nusu Fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya ushindi wa ba...
Tuesday, April 08, 2025
KHALID AUCHO KUWAKOSA AZAM FC NA ATAKUWA NJE WIKI TATU
Tuesday, April 08, 2025
KIUNGO wa Yanga, Khalid Aucho atakuwa nje kwa wiki tatu baada ya jana kuumia nyama za paja wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara...
PAMBA JIJI NA FOUNTAIN GATE HAKUNA MBABE, 1-1 KIRUMBA
Tuesday, April 08, 2025
WENYEJI, Pamba Jiji FC wamelazimishwa sare ya kufungana bao 1-1 na Fountain Gate katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwanja w...
Monday, April 07, 2025
YANGA SC 1-0 COASTAL UNION (LIGI KUU YA NBC TZ BARA)
Monday, April 07, 2025
PACOME AFUNGA BAO PEKEE YANGA YAILAZA COASTAL UNION 1-0 MWENGE
Monday, April 07, 2025
MABINGWA watetezi, Yanga SC wameibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Coastal Union ya Tanga katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara l...
DODOMA JIJI ILIVYOITANDIKA KENGOLD 3-0 JANA UWANJA WA JAMHURI
Monday, April 07, 2025
WENYEJI, Dodoma Jiji jana waliibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Kengold katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara Uwanja wa Jamhur...
Sunday, April 06, 2025
NAMUNGO FC YAICHAPA KMC 2-1 UWANJA WA MAJALIWA
Sunday, April 06, 2025
WENYEJI, Namungo FC wameibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya KMC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara usiku huu Uwanja wa Majali...
SINGIDA BLACK STARS YAIKANDA AZAM FC 1-0 UWANJA WA LITI
Sunday, April 06, 2025
WENYEJI, Singida Black Stars wameibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Azam FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara jioni ya leo Uw...
TANZANIA PRISONS YAICHAPA KAGERA SUGAR 1-0 SOKOINE
Sunday, April 06, 2025
WENYEJI, Tanzania Prisons wameibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Kagera Sugar katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara jioni ya leo ...
Saturday, April 05, 2025
MASHUJAA YAIKUNG’UTA FOUNTAIN GATE 3-0 KIGOMA
Saturday, April 05, 2025
WENYEJI, Mashujaa FC wameibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Fountain Gate katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwanja wa L...
PAMBA JIJI YAICHAPA TABORA UNITED 1-0 KIRUMBA
Saturday, April 05, 2025
WENYEJI, Pamba Jiji wameibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Tabora United katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwanja wa CCM ...
Subscribe to:
Posts (Atom)