BAO la dakika za lala salama za Abdallah Semfuko limeipa Coastal Union ushindi wa 1-0 dhidi ya Kagera Sugar katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania jioni ya leo Uwanja wa Sheikh Amri Abeid Jijini Arusha.
Coastal Union inayofundishwa na Juma Mwambusi ingeondoka na ushindi mtamu zaidi kama si nyota wake Maabad Maulid kukosa mkwaju wa penalti dakika ya 76.
Kwa ushindi huo, Coastal Union imefikisha pointi 11 katika mchezo wa 10 na kupanda hadi nafasi ya nene kutoka ya 13, wakati Kagera Sugar inabaki na pointi zake tano za mechi tisa nafasi ya 14.
300-1! Exeter stunned as wonder horse Blowers breaks 36-year record to
become longest-priced winner in British racing history
-
It has been the year for shocks on racecourses but the biggest of all
arrived at Exeter yesterday when Blowers became the longest priced winner
in British ...
10 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment