// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); AZAM FC YAICHAPA NAMUNGO FC 1-0 BAO LA LUSAJO ELUKAGA MWAIKENDA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE AZAM FC YAICHAPA NAMUNGO FC 1-0 BAO LA LUSAJO ELUKAGA MWAIKENDA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Friday, October 04, 2024

    AZAM FC YAICHAPA NAMUNGO FC 1-0 BAO LA LUSAJO ELUKAGA MWAIKENDA


    BAO la dakika ya 78 la beki Lusajo Elukaga Mwaikenda usiku wa Alhamisi limeipa Azam FC ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, Namungo FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara Uwanja wa Majaliwa, Ruangwa mkoani Lindi.
    Kwa ushindi huo, Azam FC inafikisha pointi 12 katika mchezo wa saba, wakati Namungo FC inabaki na pointi zake sita. 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: AZAM FC YAICHAPA NAMUNGO FC 1-0 BAO LA LUSAJO ELUKAGA MWAIKENDA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top