
Thursday, October 31, 2024

BAO pekee la Rashid Chambo dakika ya tatu limetosha kuipa KMC ushindi wa 1-0 dhidi ya Namungo FC katika mchezo wa Ligi Luu ya NBC Tanzania B...
SOPU AONGEZA MKATABA AZAM FC HADİ MWAKA 2026
Thursday, October 31, 2024
KIUNGO mshambuliaji, Abdul Suleiman Khamis ‘Sopu’ ameongeza mkataba wa mwaka mmoja kuendelea kuichezea Azam FC hadi mwaka 2026. GONGA KUTAZA...
SINGIDA BLACK STARS 0-1 YANGA SC (LIGI KUU YA NBC TZ BARA)
Thursday, October 31, 2024
Wednesday, October 30, 2024
YANGA SC WAPANDA KILELENI LİGİ KUU BAADA YA KUICHAPA SINGIDA 1-0 ZANZIBAR
Wednesday, October 30, 2024
MABINGWA watetezi, Yanga hatimaye wamepanda kileleni mwa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara baada ya ushindi wa 1-0 dhidi ya Singida Black Stars ...
LEONBET KUMWAGA FEDHA KWA WATAKAO BASHIRI KWA USAHIHI MATOKEO YA TRUMP DHIDI YA KAMALA
Wednesday, October 30, 2024
Wagombea kiti cha Urais wa Marekani, Kamala Harris (kushoto) na Donald Trump. NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM WAKATI joto la uchaguzi mkuu...
Tuesday, October 29, 2024
KEN GOLD YAAMBULIA SARE NA KWA DODOMA JIJI, 2-2 SOKOINE
Tuesday, October 29, 2024
WENYEJI, Ken Gold wamelazimishwa sare ya kufungana mabao 2-2 na Dodoma Jiji katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania jioni ya leo Uwanja wa...
COASTAL UNION YAICHAPA KAGERA SUGAR 1-0 SHEIKH AMRI ABEID
Tuesday, October 29, 2024
BAO la dakika za lala salama za Abdallah Semfuko limeipa Coastal Union ushindi wa 1-0 dhidi ya Kagera Sugar katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC...
RODRI WA MAN CITY NA HISPANIA NDIYE MSHINDI WA BALLON D'PR 2024
Tuesday, October 29, 2024
KIUNGO wa Manchester City, Rodrigo Hernández Cascante 'Rodri' ameshinda tuzo ya Mwanasoka Bora wa Mwaka duniani, Ballon d'Or aki...
Monday, October 28, 2024
NAMUNGO FC YAICHAPA PAMBA JIJI 1-0 RUANGWA BAO LA MKOKO
Monday, October 28, 2024
WENYEJI, Namungo FC wameibuka na ushindi wa 1-0 dhidi ya Pamba Jiji FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara usiku huu Uwanja wa Ma...
FOUNTAIN GATE YAAMBULIA SARE KWA MASHUJAA, 2-2 BABATI
Monday, October 28, 2024
TIMU za Fountain Gate na Mashujaa zimegawana pointi kwa sare ya kufungana mabao 2-2 katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwanj...
KINDA MTURUKI ATOKEA BENCHI KUINUSURU JUVE KWA INTER
Monday, October 28, 2024
WENYEJI, FC Inter Milan usiku wa jana wamelazimishwa sare ya kufungana mabao 4-4 na katika mchezo wa Serie A baina ya mahasimu hao wakubwa ...
TAIFA STARS YACHAPWA 1-0 NA SUDAN MECHI YA KUFUZU CHAN MAURITANIA
Monday, October 28, 2024
TIMU ya soka ya taifa ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars usiku wa jana imefungwa bao 1-0 na Sudan kwenye Uwanja wa Cheikha Ould Boïdiya Jijin...
Sunday, October 27, 2024
BOCCO, NDEMLA NA DILUNGA WAUMIA AJALI YA BASI LA JKT TANZANIA
Sunday, October 27, 2024
WACHEZAJI kadhaa wa JKT Tanzania wamerepotiwa kuumia katika ajali ya basi lao wakitokea Dodoma ambako jana walikuwa wana mchezo wa Ligi Kuu ...
LEWANDOWSKI APIGA MBILI BARCA YAIKANYAGA REAL 4-0 PALE PALE BERNABEU
Sunday, October 27, 2024
MKONGWE Robert Lewandowski usiku wa jana alifunga mabao mawili kuiwezesha Barcelona kushinda 4-0 dhidi ya wenyeji, Real Madrid katika mchezo...
DODOMA JIJI YAICHAPA JKT TANZANIA 1-0 BAO LA PENALTI JAMHURI
Sunday, October 27, 2024
BAO pekee la beki Heritier Lulihoshi dakika ya 71 kwa penalti jana liliipa Dodoma Jiji FC ushindi wa 1-0 dhidi ya JKT Tanzania katika mchezo...
Saturday, October 26, 2024
COASTAL UNION 0-1 YANGA SC (LIGI KUU TZ BARA)
Saturday, October 26, 2024
BALEKE AFUNGA BAO PEKEE YANGA YAILAZA COASTAL UNION 1-0 ARUSHA
Saturday, October 26, 2024
BAO pekee la mshambuliaji Mkongo, Jean Othos Baleke dakika ya 25 limeisaidia Yanga kushinda 1-0 dhidi ya Coastal Union katika mchezo wa Ligi...
SALIBOKO AWEKA MBILI KMC YAIBANJUA PRISONS 2-1 PALE PALE SOKOINE
Saturday, October 26, 2024
TIMU ya KMC imeibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya wenyeji, Tanzania Prisons katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwanja wa...
NIGERIA WAPEWA USHINDI DHIDI YA LIBYA KUFUZU AFCPON 2025
Saturday, October 26, 2024
KAMATI ya Nidhamu ya Shirikisho la Soka (CAF) imeipa ushindi wa mabao 3-0 Nigeria dhidi ya Libya baada ya kuvunjika kwa mchezo wa Kundi D ku...
SIMBA SC 3-0 NAMUNGO FC (LIGI KUU YA NBC TZ BARA)
Saturday, October 26, 2024
Friday, October 25, 2024
AZAM FC YAUWASHA MOTO, YAITANDIKA KEN GOLD 4-1 CHAMAZI
Friday, October 25, 2024
WENYEJI, Azam FC wameibuka na ushindi wa mabao 4-1 Ken Gold katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwanja wa Azam Complex, Chama...
SIMBA SC YAAMSHA HASIRA, YAITWANGA NAMUNGO 3-0 MWENGE
Friday, October 25, 2024
VIGOGO, Simba SC wameibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Namungo FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwanja Halmashauri...
SINGIDA BLACK STARS WAICHAPA FOUNTAIN GATE 2-0 LITI
Friday, October 25, 2024
TIMU ya Singida Black Stars imeibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Fountain Gate katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwan...
OSIMHEN AENGULIWA TUZO YA MWANASOKA BORA AFRIKA
Friday, October 25, 2024
MWANASOKA Bora wa Afrika, Victor Osimhen anayecheza kwa mkopo Galatasaray ya Uturuki kutoka Napoli ya Italia hayumo kwenye orodha ya awali y...
Thursday, October 24, 2024
DIARRA AWANIA TUZO YA KIPA BORA AFRIKA DHIDI YA ONANA WA MAN UNITED
Thursday, October 24, 2024
KİPA wa Yanga raia wa Mali, Djigui Diarra ameingia kwenye kinyang’anyiro cha kuwania Tuzo ya Kipa Bora Afrika akichuana na makipa wengine t...
SIMBA NA YANGA ZAWANIA TUZO YA KLABU BORA AFRIKA
Thursday, October 24, 2024
VIGOGO wa soka nchini, Simba na Yanga wameingia kwenye kinyang’anyiro cha kuwania Tuzo ya Klabu Bora ya Mwaka Afrika baada ya kufika Robo Fa...
TUZO ZA CAF KUTOLEWA MARRAKECH DESEMBA 16 MWAKA HUU
Thursday, October 24, 2024
TUZO za Shirikisho la Soka Afrika zitafanyika katika Jiji la kitalii, Marrakech nchini Morocco Desemba 16 mwaka huu 2024, taarifa ya CAF ime...
Wednesday, October 23, 2024
TABORA UNITED YAZINDUKIA KWA PAMBA, YAICHAPA 1-0 MWINYI
Wednesday, October 23, 2024
TIMU ya Tabora United imeibuka na ushindi wa 1-0 dhidi ya Pamba Jiji FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara jioni ya leo Uwanja w...
YANGA SC 2-0 JKT TANZANIA (LIGI KUU YA NBCA TZ BARA)
Wednesday, October 23, 2024
Tuesday, October 22, 2024
YANGA YAENDELEZA WIMBI LA USHINDI LİGİ KUU
Tuesday, October 22, 2024
MABINGWA watetezi, Yanga SC wameendeleza rekodi ya ushindi wa mechi zote tangu kuanza kwa msimu wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara baada ya le...
CAF YATANGAZA MAGEUZI MAKUBWA YA KIUCHUMI NA MKAKATI ZAIDI WA MAENDLEO
Tuesday, October 22, 2024
HASARA ndani ya Shirikisho la Soka Afrika (CAF) imepungua kutoka Dola za Kimarekani Milioni 28.9 hadi Dola Milioni 9.2 kwa mwaka wa fedha wa...
TANZANIA PRISONS 0-1 SIMBA SC (LIGI KUU TZ BARA)
Tuesday, October 22, 2024
SIMBA SC YAZINDUKA, YAICHAPA TANZANIA PRISONS 1-0 SOKOINE
Tuesday, October 22, 2024
TIMU ya Simba SC imeibuka na ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, Tanzania Prisons katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara jioni ya leo U...
AISHI MANULA AREJESHWA TAIFA STARS KUWAKABILI SUDAN KUFUZU CHAN
Tuesday, October 22, 2024
KİPA Aishi Salum Manula ndiye mkongwe pekee aliyeitwa kwenye kikosi cha timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars cha wachezaji wanaocheza nyum...
Monday, October 21, 2024
MGUNDA AFUNGA MAWILI MASHUJAA YAITANDIKA KEN GOLD 3-0 KIGOMA
Monday, October 21, 2024
WENYEJI, Mashujaa FC wameibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Ken Gold katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara Uwanja wa Lake Tanga...
FOUNTAIN GATE YAILAMBA KMC MABAO 3-1 TANZANITE KWARAA
Monday, October 21, 2024
WENYEJI, Fountain Gate wameibuka na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya KMC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara Uwanja wa Tanzanite Kwa...
RAIS WA CAF MOTSEPE AWAONGEZEA RUZUKU TFF NA CECAFA
Monday, October 21, 2024
RAIS wa Shirikisho la Soka Afrika (CAF) Dk. Patrice Motsepe ameongeza ruzuku kwa Vyama na Mashirikisho ya Soka Wanachama wake kutoka dola za...
TABORA UNITED YAFUKUZA MAKOCHA WAKE WAKENYA TIMU KUFANYA VIBAYA
Monday, October 21, 2024
KLABU ya Tabora United imeachana na Makocha wake Wakenya, Francis Kimanzi na Msaidizi wake, Yussuf Chipo baada ya kuwa na timu tangu mwanzo ...
Sunday, October 20, 2024
SINGIDA BLACK STARS YAILAZA NAMUNGO FC 2-0 LITI
Sunday, October 20, 2024
TIMU ya Singida Black Stars imeendelea kutamba kileleni mwa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara baada ya ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Namungo FC ...
PAMBA JIJI NA KAGERA SUGAR ZAGAWANA MABAO NA POINTI KIRUMBA
Sunday, October 20, 2024
WENYEJI, Pamba Jiji wamelazimishwa sare ya kufungana bao 1-1 na jirani zao, Kagera Sugar katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo ...
NGORONGORO HEROES MABINGWA MICHUANO YA CECAFA U20
Sunday, October 20, 2024
TANZANIA imetwaa ubingwa wa Kombe la Mataifa ya Afrika Mashariki na Kati kwa vijana chini ya umri wa miaka 20, CECAFA U20 baada ya ushindi w...
Saturday, October 19, 2024
SIMBA SC 0-1 YANGA SC (LIGI KUU YA NBC TZ BARA)
Saturday, October 19, 2024
NI YANGA TENA, YAIPIGA SIMBA MARA YA NNE MFULULIZO LIGI KUU
Saturday, October 19, 2024
MABINGWA watetezi, Yanga SC wameibuka na ushindi wa 1-0 dhidi ya watani, Simba SC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwanja ...
Friday, October 18, 2024
LEONBET KUPELEKA WASHINDI WA BATA LA DERBY KI-VIP MECHI YA YANGA NA SIMBA
Friday, October 18, 2024
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam KAMPUNI ya michezo ya kubashiri inayokua kwa kasi nchini, LEONBET, imeongeza ladha ya burudani kwa wateja w...
BOCCO APIGA MBILI JKT TANZANIA YAITANDIKA TABORA UNITED 4-2 MBWENI
Friday, October 18, 2024
WENYEJI, JKT Tanzania wameibuka na ushindi wa mabao 4-2 dhidi ya Tabora United katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwanja wa ...
AZAM FC YAWAZIMA PRISONS PALE PALE MBEYA, YAWAPIGA 2-0 SOKOINE
Friday, October 18, 2024
TIMU ya Azam FC imeibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya wenyeji, Tanzania Prisons katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara Uwanja wa...
COASTAL UNION YAICHAPA DODOMA JIJI 2-0 SHEIKH AMRI ABEID
Friday, October 18, 2024
TIMU ya Coastal Union ya Tanga imeibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Dodoma Jiji FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo U...
TANZANIA YAFUZU AFCON U20 BAADA YA KUITOA UGANDA MICHUANO YA CECAFA
Friday, October 18, 2024
TANZANIA imekata tiketi ya Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika kwa vijana chini ya umri wa miaka 20 baada ya ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya...
MPULIZA KIPYENGA SIMBA NA YANGA KESHO RAMADHANI KAYOKO
Friday, October 18, 2024
REFA Ramadhan Kayoko wa Dar es Salaam ndiye atakayechezesha mechi ya watani wa jadi, Simba na Yanga kesho Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Da...
Subscribe to:
Posts (Atom)