// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); YANGA YAICHAPA KMC 1-0 BAO PEKEE LA MAXI MPIA NZENGELI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE YANGA YAICHAPA KMC 1-0 BAO PEKEE LA MAXI MPIA NZENGELI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Sunday, September 29, 2024

    YANGA YAICHAPA KMC 1-0 BAO PEKEE LA MAXI MPIA NZENGELI


    BAO la dakika ya tano la kiungo wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Maxi Mpia Nzengeli limeipa Yanga ushindi wa 1-0 dhidi ya KMC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara usiku huu Uwanja wa Azam Complex, Chamazi Jijini Dar es Salaam.
    Kwa ushindi huo, mabingwa hao watetezi wanafikisha pointi tisa katika mchezo wa tatu, wakati KMC inabaki na pointi zake tano za mechi sita sasa.
    Next
    This is the most recent post.
    Older Post
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: YANGA YAICHAPA KMC 1-0 BAO PEKEE LA MAXI MPIA NZENGELI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top