// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); YANGA YAICHAPA CBE 1-0 PALE PALE ABEBE BIKILA BAO LA DUBE - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE YANGA YAICHAPA CBE 1-0 PALE PALE ABEBE BIKILA BAO LA DUBE - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Saturday, September 14, 2024

    YANGA YAICHAPA CBE 1-0 PALE PALE ABEBE BIKILA BAO LA DUBE


    KLABU ya Yanga imeibuka na ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, timu ya Benki ya Biashara Ethiopia, CBE SA (Commercial Bank of Ethiopia Sports Association) jioni ya leo katika mchezo wa kwanza Hatua ya 32 Bora Ligi ya Mabingwa Afrika Uwanja wa Abebe Bikila Jijini Addis Ababa
    Pongezi kwa mfungaji wa bao hilo pekee, mshambuliaji wa Kimataifa wa Zimbabwe, Prince Dube Mpumelelo dakika ya 45’+1 na mchezo wa marudiano utafanyika Jumamosi ya Septemba 21 katika Uwanja ambao utathibitishwa na Yanga.
    Mshindi wa jumla atakwenda Hatua ya 16 Bora inayochezwa kwa mtindo wa makundi.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: YANGA YAICHAPA CBE 1-0 PALE PALE ABEBE BIKILA BAO LA DUBE Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top