// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); TDS U17 YAPIGWA KWA MATUTA NA AFRİKA KUSINI LEO BINGERVILE - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE TDS U17 YAPIGWA KWA MATUTA NA AFRİKA KUSINI LEO BINGERVILE - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Thursday, September 05, 2024

    TDS U17 YAPIGWA KWA MATUTA NA AFRİKA KUSINI LEO BINGERVILE


    TIMU ya Tanzania leo imechapwa na Afrika Kusini kwa penalti 4-3 kufuatia sare ya 1-1 katika mchezo wa pili michuano ya Kuendeleza Vipaji, Talent Development Scheme (TDS U17) uliofanyika Uwanja wa Bingerville Uwanja wa Bingervile mjini Bingervile nchini Ivory Coast.
    Ikumbukwe mechi ya kwanza Tanzania iliyo chini ya Kocha Mkuu Aggrey Morris ilitoa sare ya kufungana mabao 2-2 na Zambia hapo hapo Uwanja wa Bingerville juzi na Jumamosi itakamilisha mechi zake za michuano hiyo kwa kucheza na wenyeji, Ivory Coast. 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: TDS U17 YAPIGWA KWA MATUTA NA AFRİKA KUSINI LEO BINGERVILE Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top