• HABARI MPYA

        Tuesday, September 03, 2024

        TANZANIA YATOA SARE YA 2-2 NA ZAMBIA MICHUANO YA AFRİKA U17 IVORY COAST


        TIMU ya Tanzania leo imetoa sare ya kufungana mabao 2-2 na Zambia Uwanja wa Bingerville nchini Ivory Coast kumenyana na Zamba katika michuano ya Kuendeleza Vipaji Afrika, Talent Development Scheme (TDS U17) Uwanja wa Bingervile mjini Bingervile nchini Ivory Coast 
        Katika michuano hiyo iliyoanza jana mjini humo na itaendelea hadi Septemba 7, mabao ya Tanzania yamefungwa na Idrisa Kassim na Mohamed Shila.
        Tanzania watarudi uwanjani hapo keshokutwa kumenyana na Afrika Kusini, kabla ya kukamilisha mechi zao kwa kucheza na wenyeji, Ivory Coast Jumamosi.
        • Blogger Comments
        • Facebook Comments

        0 comments:

        Item Reviewed: TANZANIA YATOA SARE YA 2-2 NA ZAMBIA MICHUANO YA AFRİKA U17 IVORY COAST Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry