TIMU ya Tanzania jana ilikamilisha mechi zake za michuano ya Kuendeleza Vipaji, Talent Development Scheme (TDS U17) kwa kufungwa kwa penalti 5-4 na wenyeji, Ivory Coast kufuatia sare ya 2-2 Uwanja wa Bingerville mjini Bingervile nchini Ivory Coast.
Mechi mbili za mwanzo za michuano hiyo inayoandaliwa na Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA) - Tanzania ilitoa sare ya kufungana mabao 2-2 na Zambia, kabla ya kufungwa kwa penalti 4-3 na Afrika Kusini kufuatia sare ya 1-1 mechi zote zikipigwa Uwanja wa Bingerville Uwanja wa Bingervile.
0 comments:
Post a Comment