MWANDISHI nguli wa Habari za Michezo nchini, Somoe Robert Ng’itu jana ameshinda Uenyekiti wa Chama cha Soka ya Wanawake Tanzania (TWFA) katika uchaguzi uliofanyika jana Moshi mkoani Kilimanjaro.
SOMOE NG’ITU MWENYEKITI MPYA SOKA YA WANAWAKE TANZANIA
MWANDISHI nguli wa Habari za Michezo nchini, Somoe Robert Ng’itu jana ameshinda Uenyekiti wa Chama cha Soka ya Wanawake Tanzania (TWFA) katika uchaguzi uliofanyika jana Moshi mkoani Kilimanjaro.
0 comments:
Post a Comment