// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); SIMBA LA MIKEKA YA KUBASHIRI, LEONBET YAINGIA RASMI TANZANIA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE SIMBA LA MIKEKA YA KUBASHIRI, LEONBET YAINGIA RASMI TANZANIA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Monday, September 16, 2024

    SIMBA LA MIKEKA YA KUBASHIRI, LEONBET YAINGIA RASMI TANZANIA

    Wafanyakazi wa kampuni ya LEONBET Tanzania wakiwakatika picha ya pamoja.


    Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
    KAMPUNI mpya ya kimataifa ya michezo yakubashiri ya mitandaoni na kwenye Kasino ya LEONBETimeingia rasmi katika soko la Tanzania.
     Kampuni hiyo ambayo  inafanya shughuli zake katika nchi 19 duniani kotetayari imepewa leseni ya kufanya shughuli zakenchini na Bodi ya Michezo ya Kubahatisha Tanzania (GBT).
     
    Mkurugenzi Mkuu wa LEONBET Tanzania, Tumaini Maliganaanathibitisha wamepewa namba ya usajili  SBI000000051 kwaajili ya kuendesha michezo ya kubashiri ya mitandaoni naOCL00000027 kwa ajili ya kufanya shughuli za michezo yaKasino.
     
    Maligana alisema kuwa  LEONBET  inatoa huduma za kisasazaidi na hiyo ndiyo sababu kubwa ya kupanua wigo na kuingiakatika soko la Tanzania.
     
    “LEONBET inalenga kuleta mapinduzi katika tasnia ya michezoya kubashiri mtandaoni na kwenye kasinoImejidhatiti  kutoahuduma bora zaidiuwepo wa kipekee mtandaonina bonasizinazovutia ili kuhakikisha kuwa wateja wetu wanapata thamanihalisi ya pesa zao.
     
    Kampuni hii ni ya kisasa zaidi na imejipanga kwa kukabilianana ushindani wa michezo ya kubashiri ya mitandaoni na kwenyeKasino kama tulivofanya katika nchi nyingine 19 duniani,” alisema Maligana.
     
    Alisema kuwa kwa zaidi ya miaka 15, LEONBET imekuwaikitoa huduma bora za kubashiri michezo a mitandaoni na yaKasino kwa wateja wake na kuwavutia wengi.
     
    “LEONBET ipo tayari kuleta burudani hiyo kwa Watanzaniawote. Kwa kutumia simu ya mkononikompyuta, au Ipadunaweza kubeti kwenye michezo mbalimbali.  Sloti zetu ni zakuvutia, pia tuna michezo kibao ya kasino mtandaoniTumekujakivingine kabisa na tunawahakikishia wateja wetu malipo fastausajili rahisibonus za kibabe, odds kubwahuduma masaa 24,” alisema Maligana.
     
    Alifafanua kuwa LEONBET imeleta huduma rahisi na bora kwawateja wa Tanzania na usajili wake ni rahisi sana. 
     
    “Ili kujisajiliunatakiwa kuwa na namba ya simu na neno la sirilako tu. Pia tunatoa njia rahisi za kuweka pesa na malipo yaharaka kupitia mitandao yote ya simu nchini.  Huduma zetu kwawateja zinapatikana kwa masaa 24 kila siku na kukuwezeshakupata msaada wakati wowote unapohitaji,” alisema.
    Kwa mujibu wa Malinganamteja yeyote atakayejisajili na kuwasehemu ya familia ya LEONBET, unapata Sh2,000 bure kamaofa maalumu ya kujiungaambayo utaendelea kuipata kilaunapoingia hadi mara nne kwa mwezi wa kwanza. 
    Ofa hii inakuwezesha kuanza safari yako ya ushindi bure kabisa. Kwa upande wa michezo ya kasinounapata bonasi yaukaribisho ya asilimia 40 hadi Sh4 milioniiliyogawanywa marannekila moja ikiwa na bonasi ya asilimia 100 hadiSh1,000,000. Tunaomba kila mteja achangamkie ofa hii yakibabeasikubali impitejiunge na LEONBET Leo, jiunge naChimbo Jipya la WashindiNaomba wateja wetu wafuatilie zaidikwenye mitandao yetu ya kijamii ili kupata maelezo ya kina zaidi,” alisisitiza.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SIMBA LA MIKEKA YA KUBASHIRI, LEONBET YAINGIA RASMI TANZANIA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top