// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); NGUSHI APIGA BAO PEKEE MASHUJAA YAICHAPA COASTAL UNION 1-0 MWENGE - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE NGUSHI APIGA BAO PEKEE MASHUJAA YAICHAPA COASTAL UNION 1-0 MWENGE - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Friday, September 13, 2024

    NGUSHI APIGA BAO PEKEE MASHUJAA YAICHAPA COASTAL UNION 1-0 MWENGE


    BAO la dakika ya 14 la mshambuliaji Crispin Ngushi Mhagmaa limeipa Mashujaa FC ushindi wa 1-0 dhidi ya Coastal Union katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara Uwanja wa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni (KMC), Mwenge Jijini Dar es Salaam.
    Kwa ushindi huo, Mashujaa FC wanafikisha pointi saba na kusogea nafasi ya pili, nyuma ya Singida Black Stars yenye pointi tisa baada ya wote kucheza mechi tatu, wakati Coastal Union inabaki na pointi moja kufuatia kucheza mechi mbili.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: NGUSHI APIGA BAO PEKEE MASHUJAA YAICHAPA COASTAL UNION 1-0 MWENGE Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top