// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); KOCHA WA KABUMBU EDNA LEMA ‘MOURINHO’ AREJEA YANGA PRINCESS - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE KOCHA WA KABUMBU EDNA LEMA ‘MOURINHO’ AREJEA YANGA PRINCESS - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Tuesday, September 03, 2024

    KOCHA WA KABUMBU EDNA LEMA ‘MOURINHO’ AREJEA YANGA PRINCESS


    KLABU ya Yanga imemrejesha Kocha Edna Lema ‘Mourinho’ Katika timu ya wanawake, Yanga Princess.
    Lema alifanya kazi nzuri Yanga Princess kwa misimu miwili, kabla ya kuachana na timu hiyo mwaka juzi na kwenda kuwa Kocha Msadizi wa timu ya wanaume ya Biashara United ya Mara.
    Lakini baada ya juhudi za kujaribu kuirejesha Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara Biashara United kukwama msimu uliopita, Lema ameamua kurejea kufundisha wanawake.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: KOCHA WA KABUMBU EDNA LEMA ‘MOURINHO’ AREJEA YANGA PRINCESS Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top