// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); KMC YAICHAPA KEN GOLD 1-0 BAO LA REDEMTUS MUSSA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE KMC YAICHAPA KEN GOLD 1-0 BAO LA REDEMTUS MUSSA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Monday, September 16, 2024

    KMC YAICHAPA KEN GOLD 1-0 BAO LA REDEMTUS MUSSA


    WENYEJI, KMC wameibuka na ushindi wa 1-0 dhidi ya Ken Gold ya Mbeya katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara jioni ya leo Uwanja wa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni, KMC Complex, Mwenge Jijini Dar es Salaam.
    Pongezi kwa mfungaji wa bao hilo pekee Redemtus Mussa kwa shuti la mpira wa adhabu dakika ya 14 na kwa ushindi huo, KMC inafikisha pointi nne katika mchezo wa tatu, wakati Ken Gold inapoteza mechi ya tatu mfululizo kati ya tatu za mwanzo wa msimu ilizocheza.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: KMC YAICHAPA KEN GOLD 1-0 BAO LA REDEMTUS MUSSA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top