// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); KAGERA SUGAR YAPATA POINTI YA KWANZA MECHI YA NNE LIGI KUU - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE KAGERA SUGAR YAPATA POINTI YA KWANZA MECHI YA NNE LIGI KUU - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Monday, September 16, 2024

    KAGERA SUGAR YAPATA POINTI YA KWANZA MECHI YA NNE LIGI KUU


    WENYEJI, Kagera Sugar wamefikisha mechi nne bila ushindi katika Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara baada ya leo kuokota pointi ya kwanza kufuatia sare ya bila mabao na JKT Tanzania Uwanja wa Kaitaba mjini Bukoba.
    Mechi tafu za mwanzo Kagera Sugar ilifungwa 1-0 na Singida Black Stars, 2-0 na Yanga na 1-0 na Tabora United, wakati JKT Tanzania nayo imetoa sare ya pili mfululizo leo katika mechi zake mbili hadi sasa kufuatia sare ya 0-0 na Azam katika mchezo wa kwanza.

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: KAGERA SUGAR YAPATA POINTI YA KWANZA MECHI YA NNE LIGI KUU Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top