MSHAMBULIAJI wa Kimataifa wa Tanzania, Clement Francis Mzize ameshinda Tuzo ya Mchezaji Bora wa mwezi Agosti wa klabu hiyo.
Kwa ushindi huo, Mzize aliyewaangusha dhidi ya kipa wa Mali, Djigui Diarra na kiungo Mkongo, Maxi Mpia Nzengeli - atazawadiwe Fedha Shilingi cha Sh. Milioni 3 kutoka kwa wadhamini, kampuni ya NIC Insurance.
0 comments:
Post a Comment