// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); AZAM FC YAAMBULIA SULUHU KWA PAMBA JIJI AZAM COMPLEX - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE AZAM FC YAAMBULIA SULUHU KWA PAMBA JIJI AZAM COMPLEX - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Saturday, September 14, 2024

    AZAM FC YAAMBULIA SULUHU KWA PAMBA JIJI AZAM COMPLEX


    WENYEJI, Azam FC wamelazimishwa sare ya bila kufungana na Pamba Jiji FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwanja wa Azam Complex, Chamazi Jijini Dar es Salaam.
    Ni sare ya tasa ya pili mfululizo katika mechi mbili za mwanzo za msimu kufuatia sare ya 0-0 pia na JKT Tanzania katika mchezo wa kwanza Uwanja wa Meja Jenerali Mstaafu Isamuhyo, Mbweni Jijini Dar es Salaam.
    Na kwa Pamba pia ni mfululizo wa sare tatu za mabao katika mechi tatu za mwanzo za msimu pamoja na zile mbili za nyumbani, Uwanja wa CCM Kirumba Jijini Mwanza dhidi ya Tanzania Prisons na Dodoma Jiji FC.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: AZAM FC YAAMBULIA SULUHU KWA PAMBA JIJI AZAM COMPLEX Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top