// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
AZAM FC YAACHANA NA KOCHA DABO BAADA YA MIEZI 15 TANGU AWASILI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINEAZAM FC YAACHANA NA KOCHA DABO BAADA YA MIEZI 15 TANGU AWASILI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
AZAM FC YAACHANA NA KOCHA DABO BAADA YA MIEZI 15 TANGU AWASILI
KLABU ya Azam FC imeachana na kocha wake Msenegal, Youssoupha Dabo (44) baada ya miezi 15 ya kuwa kazini tangu awasili kutoka ASC Jaraaf ya kwao. Uamuzi huu unafuatia mwanzo mbaya wa msimu kwa Azam FC, ikifungwa 4-1 na Yanga katika Fainali ya Ngao ya Jamii, kabla ya kutolewa na APR katika Raundi ya Awali Ligi ya Mabingwa Afrika, ikichapwa 2-0 Kigali baada ya kushinda 1-0 Dar es Salaam. Aidha, Azam FC iliambulia sare ya bila mabao na wenyeji, JKT Tanzania katika mchezo wao wa kwanza Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara, matokeo ambayo yalifuatiwa na tetesi na kocha Dabo kuondolewa kazini.
Shaw ruled out for Man City after visa issue
-
Manchester City are without Khadija Shaw for tonight's Champions League
qualifier at Paris FC after the club fails to file a visa application.
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment