// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); AZAM FC SASA BENCHI LA UFUNDI NI LA MOROCCO - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE AZAM FC SASA BENCHI LA UFUNDI NI LA MOROCCO - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Saturday, September 07, 2024

    AZAM FC SASA BENCHI LA UFUNDI NI LA MOROCCO


    KLABU ya Azam FC imetambulisha benchi jipya la Ufundi chini ya Kocha Mkuu Mmoroco, Rachid Taoussi (65) mwenye uzoefu wa kufundisha kuanzia mwaka 1992.
    Taoussi anajiunga na Azam FC kwa Mkataba wa mwaka mmoja kwa pamoja na wasaidizi wake watatu, Kocha Msaidizi, Ouajou Driss, Kocha wa utimamu wa mwili, Badr Eddine na Kocha wa makipa, Rachid El Mekkaoui wote Wamorocco. 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: AZAM FC SASA BENCHI LA UFUNDI NI LA MOROCCO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top