• HABARI MPYA

        Saturday, September 07, 2024

        AHOUA AENDELEA KUNG’ARA SİMBA SC IKIICHAPA JKT 2-0 MWENGE


        MABAO ya viungo Muivory Coast, Jean Charles Ahoua kwa penalti na mzawa, Salehe Karabaka Kikuya leo yaliipa Simba SC ushindi wa 2-0 dhidi ya JKT Tanzania katika mchezo wa kirafiki Uwanja wa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni (KMC), Mwenge Jijini Dar es Salaam.
        GONGA KUTAZAMA PICHA ZAIDI 
        • Blogger Comments
        • Facebook Comments

        0 comments:

        Item Reviewed: AHOUA AENDELEA KUNG’ARA SİMBA SC IKIICHAPA JKT 2-0 MWENGE Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry