Monday, September 30, 2024
DODOMA JIJI 0-1 SIMBA SC (LIGI KUU YA NBC TZ BARA)
Monday, September 30, 2024
Sunday, September 29, 2024
YANGA YAICHAPA KMC 1-0 BAO PEKEE LA MAXI MPIA NZENGELI
Sunday, September 29, 2024
BAO la dakika ya tano la kiungo wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Maxi Mpia Nzengeli limeipa Yanga ushindi wa 1-0 dhidi ya KMC kati...
SIMBA SC YAICHAPA DODOMA JIJI 1-0 JAMHURI
Sunday, September 29, 2024
TIMU ya Simba SC imeendeleza wimbi la ushindi katika Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara baada ya ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, Dodoma Jiji usi...
MASHUJAA NA AZAM NGOMA DROO, 0-0 LAKE TANGANYIKA
Sunday, September 29, 2024
WENYEJI, Mashujaa FC wamelazimishwa sare ya bila kufungana na Azam FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwanja wa Lake Tang...
SINGIDA BLACK STARS YAPUNGUZWA KASI, SARE 1-1 NA JKT LITI
Sunday, September 29, 2024
TIMU ya Singida Black Stars imepunguawa kasi baada ya kulazimishwa sare ya kufungana bao 1-1 na JKT Tanzania katika mchezo wa Ligi Kuu ya NB...
MAMA MARIA NYERERE AWAOMBEA DUA WAENDESHA BAISKELI KUMBUKUMBU YA MWALIMU
Sunday, September 29, 2024
Na Asha Kigundula, Dar es Salaam MJANE wa hayati Mwalimu Julius Nyerere, Mama Maria Nyerere ametoa maombi na dua kwa waendesha ba...
Saturday, September 28, 2024
NAMUNGO FC YAICHAPA PRISONS 1-0 MAJALIWA
Saturday, September 28, 2024
TIMU ya Namungo FC imeibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Tanzania Prisons katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara usiku huu Uwanja ...
COASTAL UNION YAANZA KUSHINDA MECHI ZAKE, YAICHAPA PAMBA 2-0
Saturday, September 28, 2024
TIMU ya Coastal Union imepata ushindi wa kwanza msimu wa 2024-2025 wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara baada ya kuichapa Pamba Jiji FC mabao 2-...
KEN GOLD YAANZA KUKUSANYA POINTI LIGI KUU, SARE 1-1 NA TABORA
Saturday, September 28, 2024
TIMU ya Ken Gold imepata pointi ya kwanza tangu ipande Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara baada ya sare ya 1-1 na Tabora United katika mchezo wak...
ZAMALEK WAIPIGA AL AHLY KWA MATUTA NA KUTWAA SUPER CUP YA AFRIKA
Saturday, September 28, 2024
TIMU ya Zamalek usiku wa jana imefanikiwa kutwaa taji la Super Cup ya Afrika baada ya ushindi wa penalti 4-3 kufuatia sare ya 1-1 na mahasim...
Friday, September 27, 2024
FOUNTAIN GATE YAICHAPA KAGERA 3-1 NA KUPANDA KILELENI LIGI KUU
Friday, September 27, 2024
WENYEJI, Fountain Gate wameibuka na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Kagera Sugar katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara Uwanja wa Tanz...
AZAM FC 0-2 SIMBA SC (LIGI KUU YA NBC TZ BARA)
Friday, September 27, 2024
Thursday, September 26, 2024
SIMBA SC YAICHAPA AZAM 2-0 MABAO YA ATEBA NA NGOMA
Thursday, September 26, 2024
TIMU ya Simba SC imeendeleza wimbi la ushindi katika Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara baada ya kuichapa Azam FC mabao 2-0 usiku huu Uwanja wa N...
KEN GOLD 0-1 YANGA SC (LIGI KUU YA NBC TZ BARA)
Thursday, September 26, 2024
Wednesday, September 25, 2024
BACCA AFUNGA BAO PEKEE YANGA YAICHAPA KEN GOLD 1-0 SOKOINE
Wednesday, September 25, 2024
BAO pekee la beki brahim Abdallah Hamad 'Bacca' dakika ya 13 limewapa mabingwa watetezi, Yanga SC ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, K...
JKT TANZANIA YAICHAPA COASTAL UNION 2-1 MBWENI
Wednesday, September 25, 2024
TIMU ya JKT Tanzania imeibuka na ushindi wa 2-1 dhidi ya Coastal Union katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwanja wa Meja Jen...
SIMBA SC WATINGA IKULU ZANZIBAR NA KUMKABIDHI RAIS MWINYI JEZI
Wednesday, September 25, 2024
VIONGOZI, benchi la ufundi na wachezaji wa Simba wamepata nafasi ya kukutana na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. ...
Monday, September 23, 2024
SIMBA SC 3-1 AL ALY TRIPOLI (KOMBE LA SHIRIKISHO AFRIKA)
Monday, September 23, 2024
Sunday, September 22, 2024
RAIS SAMIA AZIPONGEZA SIMBA NA YANGA KUFUZU HATUA YA MAKUNDI AFRIKA
Sunday, September 22, 2024
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samiah Suluhu Hassan amezipongeza klabu za Simba na Yanga kwa kufuzu hatua ya makundi michuano ...
AZAM FC YAICHAPA COASTAL UNION 1-0 CHAMAZI
Sunday, September 22, 2024
WENYEJI, Azam FC wameibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Coastal Union katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara usiku huu Uwanja wa A...
SIMBA SC YATINGA MAKUNDI SHIRIKISHO, WALIBYA ‘WAFA’ 3-1 KWA MKAPA
Sunday, September 22, 2024
WENYEJI, Simba SC wamefanikiwa kutinga Hatua ya 16 Bora Kombe la Shirikisho Afrika baada ya ushindi wa 3-1 dhidi ya Al Ahli Tripoli ya Libya...
JKT TANZANIA YATOA SARE YA TATU MFULULIZO, 0-0 NA KMC LEO MBWENI
Sunday, September 22, 2024
TIMU ya JKT Tanzania imelazimishwa sare ya bila kufungana na KMC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara Uwanja wa Meja Jenerali Msta...
JOSHUA KWISHA HABARI YAKE, ADUNDWA TENA KWA KNOCKOUT RAUNDI YA TANO
Sunday, September 22, 2024
BONDIA Daniel Dubois usiku wa jana amefanikiwa kutetea taji lake IBF uzito wa juu baada ya kumdunda kwa Knockout (KO) raundi ya tano Muinger...
YANGA SC 6-0 CBE SA (LIGI YA MABINGWA AFRIKA)
Sunday, September 22, 2024
Saturday, September 21, 2024
YANGA YATINGA MAKUNDI KIKUBWA, YAICHAPA CBE 6-0 ZENJI
Saturday, September 21, 2024
MABINGWA wa Tanzania, Yanga wamefuzu Hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Afrika inayochezwa kwa mtindo wa makundi baada ya ushindi wa mabao 6-...
PAMBA JIJI WATOA SARE YA 2-2 NA MASHUJAA CCM KIRUMBA
Saturday, September 21, 2024
WENYEJI Pamba Jiji FC wamelazimishwa sare ya kufungana mabo 2-2 na Mashujaa FC ya Kigoma katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo ...
TANZANIA PRISONS SARE TENA, 0-0 NA DODOMA JIJI SOKOINE
Saturday, September 21, 2024
WENYEJI Tanzania Prisons wamelazimishwa sare ya bila mabao na Dodoma Jiji FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara Uwanja wa Sokoin...
Friday, September 20, 2024
KAGERA SUGAR YAPATA MNYONGE, YAICHAPA KEN GOLD 2-0 KAITABA
Friday, September 20, 2024
WENYEJI, Kagera Sugar wameibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Ken Gold katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwanja wa Kaita...
FOUNTAIN GATE YAISHINDILIA TABORA UNITED 3-1 PALE PALE MWINYI
Friday, September 20, 2024
TIMU ya Fountain Gate imeibuka na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya wenyeji, Tabora United katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara Uwanja...
KMC 0-4 AZAM FC (LIGI KUU YA NBC TZ BARA)
Friday, September 20, 2024
Thursday, September 19, 2024
AZAM FC YAANZA LIGI,YAIKUNG'UTA KMC MABAO 4-0 MWENGE
Thursday, September 19, 2024
TIMU ya Azam FC imeichapa KMC mabao 4-0 katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania uliofanyika Uwanja wa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni...
Wednesday, September 18, 2024
KARIA AKUTANA NA VIONGOZI WAKUU SIMBA NA YANGA KUYAJENGA
Wednesday, September 18, 2024
RAIS wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Wallace Karia na Makamu wake wa Kwanza wa Rais, Athumani Nyamlani leo wamekutana na Mwenyekiti wa...
Tuesday, September 17, 2024
NAMUNGO FC YAZINDUKA NA KUICHAPA COASTAL UNION 2-0 CHAMAZI
Tuesday, September 17, 2024
TIMU ya Namungo FC imepata ushindi wa kwanza katika Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara baada ya kuichapa Coastal Union mabao 2-0 jioni ya leo Uwa...
SINGIDA YA KWANZA KUIFUNGA PAMBA, YAICHAPA 1-0 KIRUMBA
Tuesday, September 17, 2024
TIMU ya Singida Black Stars imeendeleza wimbi la ushindi katika mchezo wa nne mfululizo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara baada ya kuwachapa ...
Monday, September 16, 2024
SIMBA LA MIKEKA YA KUBASHIRI, LEONBET YAINGIA RASMI TANZANIA
Monday, September 16, 2024
Wafanyakazi wa kampuni ya LEONBET Tanzania wakiwa katika picha ya pamoja . Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam KAMPUNI mpya y...
Subscribe to:
Posts (Atom)