// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); YANGA SC YAANZA NA USHINDI WA 2-0 UGENINI LİGİ KUU DHIDI YA KAGERA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE YANGA SC YAANZA NA USHINDI WA 2-0 UGENINI LİGİ KUU DHIDI YA KAGERA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Thursday, August 29, 2024

    YANGA SC YAANZA NA USHINDI WA 2-0 UGENINI LİGİ KUU DHIDI YA KAGERA


    MABINGWA watetezi, Yanga SC wameanza na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya wenyeji, Kagera Sugar katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara Uwanja wa Kaitaba mjini Bukoba mkoani Kagera.
    Mabao ya Yanga leo yamefungwa na kiungo Mkongo, Maxi Mpia Nzengeli dakika ya 26 na mshambuliaji mzawa, Clement Francis Mzize dakika ya 88 akimalizia pası ya kiungo Mburkinabe, Stephane Aziz Ki.
    Ulikuwa mchezo wa kwanza kwa Yanga, lakini Kagera Sugar leo inapoteza mechi ya pili mfululizo nyumbani baada ya kuchapwa 1-0 na Singida Black Stars mwishoni mwa wiki.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: YANGA SC YAANZA NA USHINDI WA 2-0 UGENINI LİGİ KUU DHIDI YA KAGERA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top