TIMU ya Singida Black Stars imeibuka na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya wenyeji, Ken Gold katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara Uwanja wa Sokoine Jijini Mbeya.
Mabao ya Singida Black Stars yamefungwa na Emmanuel Kayekeh dakika ya 41, Elvis Rupia dakika ya 62 na Mohamed Damaro dakika ya 81, wakati bao pekee la Ken Gold limefungwa na Joshua Ibrahim dakika ya 68.
0 comments:
Post a Comment