Saturday, August 31, 2024
ATEBA AFUNGUA AKAUNTI YA MABAO SIMBA YATOA SARE NA EL HILAL
Saturday, August 31, 2024
KLABU ya Simba imetoa sare ya kufungana bao 1-1 na Al Hilal Omdurman ya Sudan katika mchezo wa kirafiki uliofanyika Uwanja wa Halmashauri ...
Thursday, August 29, 2024
KAGERA SUGAR 0-2 YANGA SC (LIGI KUU TZ BARA)
Thursday, August 29, 2024
FOUNTAIN GATE YAICHAPA NAMUNGO FC 2-0 PALE PALE RUANGWA
Thursday, August 29, 2024
TIMU ya Fountain Gate imeibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya wenyeji, Namungo FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwanj...
YANGA SC YAANZA NA USHINDI WA 2-0 UGENINI LİGİ KUU DHIDI YA KAGERA
Thursday, August 29, 2024
MABINGWA watetezi, Yanga SC wameanza na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya wenyeji, Kagera Sugar katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara U...
KMC YAAMBULIA SARE KWA COASTAL UNION, 1-1 MWENGE
Thursday, August 29, 2024
WENYEJI, KMC wamelazimishwa sare ya kufungana bao 1-1 na Coastal Union katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwanja wa Halmasha...
Wednesday, August 28, 2024
JKT TANZANIA NA AZAM FC HAKUNA MBABE, SARE 0-0 MBWENI
Wednesday, August 28, 2024
WENYEJI, JKT Tanzania wamelazimishwa sare ya bila mabao na Azam FC katika mchezo wa kwanza wa msimu wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara kwa tim...
Monday, August 26, 2024
SIMBA QUEENS YATUPWA NJE LİGİ YA MABINGWA AFRİKA CECAFA
Monday, August 26, 2024
TIMU ya Simba Queens imetupwa nje ya kinyang’anyiro cha tiketi ya Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya kuchapwa mabao 3-2 na Polisi Bullets ya K...
DICKSON JOB AREJESHWA TAIFA STARS MECHI ZA KUFUZU AFCON
Monday, August 26, 2024
BEKİ wa Yanga, Dickson Nickson Job amerejeshwa kwenye kikosi cha timu ya Taifa ya Tanzania Taifa, Taifa Stars kwa ajili ya Michezo miwili ya...
Sunday, August 25, 2024
SIMBA SC 4-0 FOUNTAIN GATE (LIGI KUU TZ BARA)
Sunday, August 25, 2024
YANGA SC 6-0 VITAL'O (LIGI YA MABINGWA AFRIKA)
Sunday, August 25, 2024
MAKAMBO, DJUMA SHABANI WAFUNGA PENALTI TABORA UNITED YAICHAPA NAMUNGO 2-1
Sunday, August 25, 2024
TIMU ya Tabora United imeibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya wenyeji, Namungo FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwanj...
COASTAL UNION YAUMALIZA MWENDO KOMBE LA SHIRIKISHO AFRIKA MAPEMA TU
Sunday, August 25, 2024
TIMU ya Coastal Union imetupwa nje ya michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika baada ya sare ya kufungana na Bravos do Maquis ya Angola leo ka...
SIMBA SC YAIRARUA FOUNTAIN GATE 4-0 LEO KINONDONI
Sunday, August 25, 2024
TIMU ya Simba imeibuka na ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya Fountain Gate katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwanja wa Halmashau...
HAALAND APIGA HAT TRICK MAN CITY YAICHAPA IPSWICH 4-1
Sunday, August 25, 2024
MSHAMBULIAJI Mnorway, Erling Braut Haaland jana amefunga mabao matatu kuiwezesha Manchester City kuibuka na ushindi wa mabao 4-1 dhidi ya Ip...
Saturday, August 24, 2024
SINGIDA BLACK STARS WAIKALISHA KAGERA SUGAER 1-0 PALE PALE KAITABA
Saturday, August 24, 2024
TIMU ya Singida Black Stars leo imeibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya wenyeji, Kagera Sugar katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara...
AZAM FC YATOLEWA, APR WAISUBIRI PYRAMIDS KUWANIA MAKUNDI
Saturday, August 24, 2024
SAFARI ya Azam FC katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika imeishia mwanzoni tu baada ya leo kutolewa na wenyeji, APR kufuatia kuchapwa ma...
YANGA SC YAICHAPA VITAL'O 6-0, KUCHEZA NA WAHABESHI KUWANIA MAKUNDI
Saturday, August 24, 2024
MABINGWA wa mataji yote Tanzania, Yanga SC wamefanikiwa kufuzu Hatua ya 32 Bora Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya ushindi wa mabao 6-0 dhidi ...
WAZIRI MWIGULU AIOMBA YANGA IMUACHIE KAGOMA ACHEZEE SIMBA
Saturday, August 24, 2024
MLEZI wa klabu ya Singida Black Stars Mwigulu Lameck Nchemba ambaye pia ni Waziri wa Fedha na Mipango wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa ...
PAMBA SULUHU YA PILI MFULULIZO NYUMBANI LEO BAADA YA KUPANDA LIGI KUU
Saturday, August 24, 2024
TIMU ya Pamba Jiji FC imelazimishwa sare ya bila kufungana na Dodoma Jiji FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara jioni ya leo Uwa...
ABUBAKAR BAKHRESA AKUTANA NA WACHEZAJI AZAM KUWATIA HAMASA WAING'OE APR
Saturday, August 24, 2024
MWENYEKITI wa Bodi ya Wakurugenzi ya Azam FC na Mkurugenzi Mkuu wa makampuni ya Bakhresa Group (SSB), Abubakar Said Salim Bakhresa mapema le...
Friday, August 23, 2024
MASHUJAA YAAMBULIA SULUHU KWA TZ PRISONS LAKE TANGANYIKA
Friday, August 23, 2024
WENYEJI, Mashujaa FC wamelazimishwa sare ya bila mabao na jirani zao, Tanzania Prisons katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uw...
SIMBA QUEENS YATOA SARE, KUMENYANA NA POLISI YA KENYA NUSU FAINALI CECAFA
Friday, August 23, 2024
TIMU ya Simba Queens imekamilisha mechi zake za Kundi B Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati kwa sare ya kufungana mabao 2-2 na PVP Buyenzi...
Thursday, August 22, 2024
RAIS SAMIA AONGEA NA WADAU WAWILI WAKUBWA NCHINI WAZIFADHILI SIMBA NA YANGA
Thursday, August 22, 2024
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan amesema kwamba amezungumza na wadau wawili wakubwa nchini ili wazisaidie ki...
Wednesday, August 21, 2024
MAHOJIANO BIN ZUBEIRY NA NICO NJOHOLE
Wednesday, August 21, 2024
ALIZALIWA Desemba 12, mwaka 1960, eneo la Chang’ombe Jijini Dar es Salaam, kabla ya kupata elimu yake ya Msingi katika shule ya Msimbazi Wav...
AZAM FC YAIFUATA APR USIKU HUU SHUGHULI NI JUMAMOSI AMAHORO
Wednesday, August 21, 2024
KIKOSI cha Azam FC kinatarajiwa kuondoka Saa 9 usiku wa leo kwenda Kigali, nchini Rwanda kwa ajili ya mchezo wa marudiano Raundi ya Awali Li...
SIMBA QUEENS YAWAPIGA WAGANDA 3-0 NA KUTINGA NUSU FAINALI CECAFA
Wednesday, August 21, 2024
TIMU ya Simba Queens imefanikiwa kwenda Nusu Fainali ya Klabu Bingwa ya Wanawake Afrika Mashariki na Kati baada ya ushindi wa mabao 3-0 dhid...
Tuesday, August 20, 2024
SIMON MSUVA AONDOKA SAUDI ARABIA, AHAMIA LIGI KUU YA IRAQ
Tuesday, August 20, 2024
KIUNGO mshambuliaji, Simon Happygod Msuva amejiunga na ya Al Talaba inayoshiriki ligi kuu ya Iraq akitokea Al Najmah ya Saudi Arabia. Perso...
Monday, August 19, 2024
ASHA MWALALA APIGA HAT-TRICK SIMBA QUEENS YASHINDA 5-0
Monday, August 19, 2024
TIMU ya Simba Queens imeanza vyema michuano ya Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati kwa ushindi wa mabao 5-0 dhidi ya FAD ya Djibouti katik...
Sunday, August 18, 2024
AZAM FC 1-0 APR (LIGI YA MABINGWA AFRIKA)
Sunday, August 18, 2024
SIMBA SC 3-0 TABORA UNITED (LIGI KUU TZ BARA)
Sunday, August 18, 2024
AZAM FC YAICHAPA APR 1-0 BAO LA BLANCO KWA PENALTI CHAMAZI
Sunday, August 18, 2024
WENYEJI, Azam FC imeibuka na ushindi wa 1-0 dhidi ya APR ya Rwanda katika mchezo wa kwanza Raundi ya Awali Ligi ya Mabingwa Afrika usiku wa...
SIMBA SC YAANZA LIGI KWA KISHINDO, YAICHAPA TABORA UNITED 3-0
Sunday, August 18, 2024
TIMU ya Simba SC imeanza vyema Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara baada ya ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Tabora United leo Uwanja wa Halmashauri ...
SINGIDA YAIKARIBISHA LİGİ KUU KEN GOLD, YAITANDIKA 3-1 PALE PALE SOKOINE
Sunday, August 18, 2024
TIMU ya Singida Black Stars imeibuka na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya wenyeji, Ken Gold katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara Uwanj...
CHANGALAWE AMTWANGA BINGWA WA AFRIKA MKONGO KABEJI ADDIS ABABA
Sunday, August 18, 2024
BONDIA Yusuf Changalawe amefanikiwa kushinda pambano lake la usiku wa kuamkia leo na kufuta uteja mbele ya Bingwa wa Afrika Pita Kabeji kuto...
YANGA SC 4-0 VITAL'O (LIGI YA MABINGWA AFRIKA)
Sunday, August 18, 2024
YANGA SC 4-1 AZAM FC (NGAO YA JAMII)
Sunday, August 18, 2024
YANGA SC 1-0 SIMBA SC (NGAO YA JAMII)
Sunday, August 18, 2024
Saturday, August 17, 2024
COASTAL UNION YACHAPWA 3-0 ANGOLA KOMBE LA SHIRIKISHO AFRIKA
Saturday, August 17, 2024
TIMU ya Coastal Union imejiweka njia panda katika michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika baada ya kuchapwa mabao 3-0 na wenyeji, Bravos do M...
NGUSHI AFUNGA BAO PEKEE MASHUJAA YAILAZA DODOMA JIJI 1-0 KIGOMA
Saturday, August 17, 2024
BAO pekee la mshambuliaji Crispin Ngushi Mhagama dakika ya 33 limeipa Mashujaa FC ushindi wa 1-0 dhidi ya Dodoma Jiji FC katika mchezo wa Li...
DUBE, CHAMA NA AZIZ KI WAFUNGA YANGA YAWACHAPA VITAL'O 4-0 CHAMAZI
Saturday, August 17, 2024
MABINGWA wa Tanzania, Yanga SC wametanguliza mguu mmoja hatua ya 32 Bora Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya Vita...
Friday, August 16, 2024
AZAM
CAF
COASTAL UNION
HABARI MOTOMOTO
HABARI ZA NYUMBANI
KOMBE LA SHIRIKISHO AFRIKA
LIGI YA MABINGWA AFRIKA
SIMBA
YANGA
CAF KUZIPA AZAM, COASTAL, SIMBA NA YANGA MILIONI 135 KILA MOJA
Friday, August 16, 2024
KLABU zote zinazoshiriki Hatua za Awali za michano ya Afrika, Kombe la Shirikisho na Ligi ya Mabingwa kila moja itapata ruzuku ya dola za Ki...
AZAM
CAF
COASTAL UNION
HABARI MOTOMOTO
HABARI ZA NYUMBANI
KOMBE LA SHIRIKISHO AFRIKA
LIGI YA MABINGWA AFRIKA
SIMBA
YANGA
PAMBA FC WAAMBULIA SULUHU KWA PRISONS UFUNGUZI LİGİ KUU
Friday, August 16, 2024
WENYEJI, Pamba Jiji FC wamelazimishwa sare ya bila kufungana na Tanzania Prisons katika mchezo wa ufunguzi wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara ...
YUSSUF BAKHRESA AFANYA KIKAO MAALUM NA WACHEZAJI AZAM FC
Friday, August 16, 2024
MMILIKI wa timu ya Azam FC, Yussuf Said Salim Bakhresa amekutana kwa mazungumzo na wachezaji kuelekea mchezo wa kwanza Raundi ya Awali Ligi ...
Thursday, August 15, 2024
SIMBA SC YAMTAMBULISHA MCAMEROON LEONEL ATEBA NI MNYAMA
Thursday, August 15, 2024
KLABU ya Simba imeimarisha safu yake ya ushambuliaji kwa kumsajili Mcameroon Leonel Ateba (26) kutoka USM Alger ya Algeria.
AZAM FC YASAJILI KİPA MWINGINE KUTOKA KVZ YA ZANZIBAR
Thursday, August 15, 2024
KLABU ya Azam FC imeimaridha safu yake ya ulinzi kwa kumsajili mlinda mlango, Arjif Ali Amour kutoka KVZ ya Zanzibar kwa mkataba wa mwana mm...
KMC YARIDHIA UHAMISHO WA AWESU KWENDA SIMBA SC
Thursday, August 15, 2024
KLABU ya KMC imeridhia kiungo Awesu Ally Awesu ajiunge na Simba SC baada ya maridhiano kufuatia mazungumzo ya pande zote mbili. Simba ilimsa...
MBAPPE AFUNGA LA PILI REAL MADRID YATWAA UEFA SUPER CUP
Thursday, August 15, 2024
TIMU ya Real Madrid jana ilifanikiwa kutwaa taji la UEFA Super Cup baada ya ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Atalanta Bergamo Uwanja wa Narodow...
Wednesday, August 14, 2024
SIMBA QUEENS WAENDA ETHIOPIA KUWANIA LIGI YA MABINGWA AFRIKA
Wednesday, August 14, 2024
KIKOSI cha Simba Queens kimeondoka Dar es Salaam mchana wa leo kwenda Addis Ababa, Ethiopia kwa ajili ya michuano ya kufuzu Ligi ya Mabingwa...
CHAMA NA MUSONDA WAFUNGA YANGA YASHINDA 4-1 MECHI YA KIRAFIKI KIGAMBONI
Wednesday, August 14, 2024
KATIKA kujiandaa na mchezo wa kwanza Raundi ya Awali Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Vital’O ya Burundi Jumamosi Uwanja wa Azam Complex, Ch...
ADOLF MTASINGWA BITEGEKO ASAINI MKATABA MPYA AZAM FC HADI 2027
Wednesday, August 14, 2024
KIUNGO Adolf Mtasingwa Bitegeko (24) amesaini mkataba mpya wa miaka miwili kuendelea na majukumu Azam FC hadi mwaka 2027. Adolf ni miongoni ...
Monday, August 12, 2024
YANGA SC 4-1 AZAM FC (FAINALI NGAO YA JAMII)
Monday, August 12, 2024
Sunday, August 11, 2024
YANGA WAICHAPA AZAM FC 4-1 NA KUTWAA NGAO YA JAMII
Sunday, August 11, 2024
MABINGWA wa Tanzania, Yanga wamefanikiwa kutwaa Ngao ya Jamii baada ya kutoka nyuma na kushinda mabao 4-1 dhidi ya Azam FC usiku huu Uwanja ...
TANZANIA YAHITIMISHA ‘SALAMA’ USHIRIKI USHIRIKI WAKE OLIMPIKI YA PARIS
Sunday, August 11, 2024
TANZANIA imehitimisha ushiriki wake kwenye Michezo ya Olimpiki ya mwaka huu bila kushinda Medali yoyote baada ya Wanariadha wake, Jackline J...
Subscribe to:
Posts (Atom)