• HABARI MPYA

        Sunday, July 07, 2024

        YANGA SC YAMTAMBULISHA RASMI PRINCE DUBE MPUMELELO ‘MWANA WA MFALME’


        KLABU ya Yanga imemtambulisha mshambuliaji wa Kimataifa wa Zimbabwe, Prince Dube Mpumelelo (27) kuwa mchezaji wake wa pili tu mpya kutoka Azam FC kuelekea msimu ujao.
        Mchezaji wa kwanza kutambulishwa kujiunga na Yanga ni kiungo mshambuliaji wa Kimataifa wa Zambia kutoka kwa watani wa jadi, Simba SC.
        GONGA KUTAZAMA VIDEO YA UTAMBULISHO WA PRINCE DUBE 
        • Blogger Comments
        • Facebook Comments

        0 comments:

        Item Reviewed: YANGA SC YAMTAMBULISHA RASMI PRINCE DUBE MPUMELELO ‘MWANA WA MFALME’ Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry