• HABARI MPYA

        Friday, July 12, 2024

        YAHYA ZAYD AFANYIWA UPASUAJI WA GOTI AFRIKA KUSINI


        KIUNGO wa Azam FC, Yahya Zayd Omary (26), amefanyiwa upasuaji wa goti katika hospitali ya Life Vincent Pallotti Jijini Cape Town nchini Afrika Kusini na atakuwa nje kwa wiki sita.
        Taarifa ya Azam FC imesema; "Kiungo wetu, Yahya Zayd, amefanyiwa upasuaji wa goti kutibu tatizo la 'Meniskasi' ya ndani na pembeni,".


        • Blogger Comments
        • Facebook Comments

        0 comments:

        Item Reviewed: YAHYA ZAYD AFANYIWA UPASUAJI WA GOTI AFRIKA KUSINI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry