• HABARI MPYA

    Monday, July 01, 2024

    SIMBA SC YAMTAMBULISHA WINGA MZAMBIA JOSHUA MUTALE


    KLABU ya Simba imemtambulisha winga wa Kimataifa wa Zambia, Joshua Mutale kutoka Power Dynamos ya kwao kuwa mchezaji wake mpya wa pili kuelekea msimu ujao baada ya beki Lameck Lawi kutoka Coastal Union ya Tanga.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SIMBA SC YAMTAMBULISHA WINGA MZAMBIA JOSHUA MUTALE Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top