Thursday, July 11, 2024

    KIKAO KABLA YA KUANZA MAZOEZI AZİZ KI, CHAMA NA PACOME


    VIUNGO wanyumbulifu wa Yanga, Muivory Coast, Peodoh Pacome Zouzoua (kulia), Mzambia Clatous Chota Chama (katikati) na Mburkinabe, Stephane Aziz Ki (Kushiro) wakijadiliana jambo leo wakati wa mazoezi ya timu hiyo Uwanja wa Avic Town, Kigamboni Jijini Dar es Salaam.
    GONGA KUTAZAMA PICHA ZAIDI 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: KIKAO KABLA YA KUANZA MAZOEZI AZİZ KI, CHAMA NA PACOME Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry