// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); IMANI KAJULA AJIUZULU UTENDAJI MKUU SIMBA SC, KUACHIA OFİSİ MWEZI UJAO - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE IMANI KAJULA AJIUZULU UTENDAJI MKUU SIMBA SC, KUACHIA OFİSİ MWEZI UJAO - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Monday, July 15, 2024

    IMANI KAJULA AJIUZULU UTENDAJI MKUU SIMBA SC, KUACHIA OFİSİ MWEZI UJAO


    AFISA Mtendaji Mkuu wa klabu ya Simba, Imani Kajula amejiuzulu nafasi hiyo baada ya kipindi cha mwaka mmoja na nusu tangu apewe wadhifa huo.
    Imani Kajula aliteuliwa kuwa Mtendaji Mkuu wa Simba SC Januari akichukua nafasi iliyoachwa wazi na Barbara Gonzalez aliyejiuzulu Desemba mwaka 2022 kwa notisi ya mwezi mmoja na kuondoka madarakani Januari mwaka jana.

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: IMANI KAJULA AJIUZULU UTENDAJI MKUU SIMBA SC, KUACHIA OFİSİ MWEZI UJAO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top