Wednesday, July 10, 2024

    AZIZ Kİ AWATULIZA WANA YANGA; ASEMA ANABAKI KWA WANANCHI


    KIUNGO mshambuliaji wa Kimataifa wa Burkina Faso amesema hana mpango wa kuachana na klabu ya Yanga licha ya ofa kadhaa na tamu kutoka klabu mbalimbali.
    Yanga imepost video fupi ya Aziz Ki akiwa mwenye furaha na kusema; “Hello Wananchi, I’m still here”, akimaanisha anabaki Yanga.
    VIDEO: AZIZ AKIZUNGUMZIA MUSTAKABALI WAKE YANGA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: AZIZ Kİ AWATULIZA WANA YANGA; ASEMA ANABAKI KWA WANANCHI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry