• HABARI MPYA

        Friday, July 12, 2024

        AZAM FC YAICHAPA ZIMAMOTO 4-0 MECHI YA KIRAFIKI ZANZIBAR


        TIMU ya Azam FC imeibuka na ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya wenyeji, Zimamoto katika mchezo wa kirafiki leo Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar.
        Mabao ya Azam FC yamefungwa na kiungo Feisal Salum
        Abdallah ‘Fei Toto’ dakika ya 34 na 58 na mshambuliaji Mcolimbia, Jhonier Alfonco Blanco Yus mawili pia dakika za 37 na ka penaltı dakika ya 82.
        Azam FC imeweka kambi ya awali visiwani Zanzibar, kabla ya kwenda Morocco wiki ijayo kwa kambi ya wiki  mbili kujiandaa na msimu mpya.
        GONGA KUTAZAMA VIDEO ZA MABAO
        • Blogger Comments
        • Facebook Comments

        0 comments:

        Item Reviewed: AZAM FC YAICHAPA ZIMAMOTO 4-0 MECHI YA KIRAFIKI ZANZIBAR Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry