// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); AL AHLY KUUMANA NA ZAMALEK KATIKA SUPER CUP YA CAF SAUDIA ARABIA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE AL AHLY KUUMANA NA ZAMALEK KATIKA SUPER CUP YA CAF SAUDIA ARABIA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Saturday, July 13, 2024

    AL AHLY KUUMANA NA ZAMALEK KATIKA SUPER CUP YA CAF SAUDIA ARABIA


    RAIS wa Shirikisho la Soka Afrika (CAF), Dk Patrice Motsepe kwa pamoja na Mwenyekiti wa Mamlaka ya Burudani ya Saudi Arabia (GEA), wamelitangaza Jiji la Riyadh, Saudi Arabia kuwa mwenyeji wa Super Cup 2024 ya Afrika.
    Mechi hiyo ambayo itazikutanisha timu za Misri tupu, mabingwa wa Ligi ya Mabingwa, Al Ahly na mahasimu wao, Zamalek SC na itachezwa Ijumaa Septemba 27, mwaka huu 2024 Jijini Riyadh, Saudi Arabia katika Uwanja ambao utatajwa baadaye.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: AL AHLY KUUMANA NA ZAMALEK KATIKA SUPER CUP YA CAF SAUDIA ARABIA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top