%20na%20saa%209-00%20Alasiri%20utazindukiwa%20Michenzani%20Mall,%20Unguja,%20visiwani%20Zanzibar,%20matukio%20yote%20yataruka%20Mbashara%20kupi.jpg)
Wednesday, July 31, 2024
%20na%20saa%209-00%20Alasiri%20utazindukiwa%20Michenzani%20Mall,%20Unguja,%20visiwani%20Zanzibar,%20matukio%20yote%20yataruka%20Mbashara%20kupi.jpg)
KLABU ya Azam kesho inatarajiwa kutambulisha jezi zake za msimu mpya kwa staili ya aina yake – Saa 3:00 Asubuhi watafanya uzinduzi kwenye bo...
SIMBA SC WAREJEA DAR TAYARI KWA SIMBA DAY JUMAMOSI
Wednesday, July 31, 2024
KIKOSI cha Simba SC kimerejea nchini jioni ya leo kikitokea Misri ambako kilikuwa kimeweka kambi ya wiki tatu kujiandaa na msimu mpya chini ...
Tuesday, July 30, 2024
BEKI WA YANGA PRINCESS AJIUNGA NA TIMU YA ISRAEL
Tuesday, July 30, 2024
BEKİ chipukizi wa Kimataifa wa Tanzania, Noela Patrick Luhala (18) amejiunga na klabu ya ASA Tel Aviv WFC ya Ligi Kuu ya Wanawake Israel aki...
TANZANIA YAPOTEZA MWANAMICHEZO WA PILI PARIS OLIMPIKI 2024
Tuesday, July 30, 2024
KARATA ya pili ya Tanzania katika mashindano ya Olimpiki ya Paris 2024 imeingia maji leo wakati muogeleaji Collins Phillip Saliboko, alipoma...
'KAPTENI' OPA CLEMENT AJIUNGA NA HENAN FC YA LIGI KUU YA CHINA
Tuesday, July 30, 2024
MSHAMBULIAJI wa Kimataifa wa Tanzania, Opah Clement Tukumbuke (23) amejiunga na timu ya Henan Wanxian Mountain WFC inayoshiriki Ligi Kuu ya ...
AZAM FC YAPEWA SOMO KWA VITENDO MOROCCO, YACHAPWA 4-1 WYDAD AC
Tuesday, July 30, 2024
TIMU ya Azam FC imechapwa mabao 4-1 na wenyeji, Wydad Athletic FC katika mchezo wa kirafiki uliofanyika usiku wa jana Uwanja wa El Bacchir m...
Monday, July 29, 2024
SIMBA SC YAICHAPA 2-1 TIMU YA SAUDI ARABIA MECHI YA KIRAFIKI MISRI
Monday, July 29, 2024
TIMU ya Simba SC imeibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Al-Adalah FC ya Saudi Arabia katika mchezo wa kirafiki Uwanja wa Suez Canal mjini...
Sunday, July 28, 2024
SIMBA SC YATOKA NA KUICHAPA TELECOM EGYPT 2-1
Sunday, July 28, 2024
TIMU ya Simba SC imetoka nyuma na kushinda 2-1 dhidi ya Telecom Egypt katika mchezo wa kirafiki uliofanyika Uwanja wa Mercure kwenye kambi y...
AZİZ Kİ APIGA MBILI, DUBE MOJA YANGA YATWAA KOMBE LA TOYOTA
Sunday, July 28, 2024
MABINGWA wa Tanzania wametwaa taji la kwanza la msimu, Kombe la Toyota baada ya kuwafunga wenyeji, Kaizer Chiefs mabao 4-0 jioni ya leo Uwan...
AZAM FC YATOA SARE YA 1-1 NA TOUARGA MECHI YA KIRAFIKI MOROCCO
Sunday, July 28, 2024
TIMU ya Azam FC jana imelazimishwa sare ya kufungana bao 1-1 na wenyeji, Union de Touarga katika mchezo wa kirafiki uliofanyika kwenye Uwanj...
Saturday, July 27, 2024
YANGA KUVAA JEZI NYEUSI NA NYEUPE MSIMU UJAO, NYINGINE NI...
Saturday, July 27, 2024
KLABU ya Yanga imetambulisha jezi za msimu mpya, kwa mara ya kwanza ikitoa jezi ya rangi nyeusi na nyeupe ambayo itakuwa jezi ya tatu baada...
KMC YAWACHAPA WAMAREKANI 5-0 MECHI YA KIRAFIKI MOROGORO
Saturday, July 27, 2024
TIMU ya KMC imeibuka na ushindi wa mabao 5-0 dhidi ya Pensacola Christian College Eagles maarufu kama PCC Eagles ya Marekani katika mchezo w...
DODOMA JIJI YAICHAPA SINGIDA BLACK STARS 2-1 ARUSHA
Saturday, July 27, 2024
TIMU ya Dodoma Jiji FC leo imetoka nyuma na kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Singida Black Stars katika mchezo wa kirafiki kujiandaa...
Friday, July 26, 2024
MNYARWANDA ATAMBULISHWA RASMI MTENDAJI MKUU MPYA SIMBA SC
Friday, July 26, 2024
KLABU ya imemtambulisha Uwayezu Francois Regis kutoka Rwanda kuwa Afisa Mtendaji Mkuu mpya akichukua nafasi ya Imani Kajula anayeachia ngazi...
Wednesday, July 24, 2024
TEPSİ AONGEZA MKATABA WA KUENDELEA NA KAZI AZAM FC HADİ 2026
Wednesday, July 24, 2024
KIUNGO chipukizi, Tepsi Evans Theonasy (21) amesaini mkataba wa nyongeza ya mwaka mmoja kuendelea kuichezea klabu ya Azam FC hadi Mwaka 2026...
AZIZ KI, FEISAL NA KIPRE JUNIOR WAWANIA UCHEZAJI BORA LIGI KUU
Wednesday, July 24, 2024
WACHEZAJI wanane, wakiwemo beki Mohammed Hussein 'Tshabalala' na viungo Feisal Salum Abdallah 'Fei Toto' wa Azam FC na Steph...
PRINCE DUBE AFUNGUA AKAUNTI YA MABAO YANGA IKIICHAPA GALAXY 1-0
Wednesday, July 24, 2024
BAO la mshambuliaji mpya, Prince Dube Mpumelelo dakika ya 55 limeipa Yanga ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, TS Galaxy katika mchezo wa kiraf...
DABO WA AZAM NA N'DAW WA YANGA WAPO TANGA WANASOMEA UKOCHA
Wednesday, July 24, 2024
Kocha Mkuu wa Azam FC,Youssoupha Dabo wa Azam FC katika mafunzo ya Kozi ya ukocha ya CAF A Diploma Jijini Tanga. MAKOCHA Wasenegal, Moussa ...
HIZI HAPA JEZI ZA MSIMU MPYA SIMBA ZIMEZINDULIWA MIKUMI
Wednesday, July 24, 2024
HATIMAYE vigogo wa soka, Simba Sports Club leo wamezindua jezi za msimu mpya wa 2024 – 2025, shughuli ambayo imefanyika Hifadhi ya Mikumi mk...
Tuesday, July 23, 2024
SIMBA SC KUMCHUKULIA HATUA KIBU DENNIS KWA UTORO
Tuesday, July 23, 2024
KLABU ya Simba imesema itamchukulia hatua za kinidhamu kiungo wake mshambuliaji, Kibu Dennis Prosper kwa kutoripoti kambini tangu asaini mka...
Monday, July 22, 2024
AHOUA APIGA MBILI SIMBA SC YASHINDA 3-0 MISRI
Monday, July 22, 2024
TIMU ya Simba imeibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya El-Qanah, ambayo pia inajulikana kama Canal SC au Suez Canal katika mechi ya kwanza ...
Sunday, July 21, 2024
RED ARROWS MABINGWA KOMBE LA KAGAME, AL HİLAL WA TATU
Sunday, July 21, 2024
TIMU ya Red Arrows ya Zambia imefanikiwa kutwaa ubingwa wa Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati, maarufu kama Kombe la Kagame kwa ushindi w...
Saturday, July 20, 2024
AZAM FC YASHINDA 3-0 MECHI YA KIRAFIKI MOROCCO
Saturday, July 20, 2024
TIMU ya Azam FC imeibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya wenyeji, Union Yacoub El Mansour ya Ligi Daraja la Tatu Uwanja wa Ziaida Complex m...
BALEKE AFUNGA YANGA YACHAPWA 2-1 NA AUGSBURG MECHI YA KIRAFIKI AFRIKA KUSINI
Saturday, July 20, 2024
MABINGWA wa Tanzania, Yanga SC leo wameanza vibaya michuano ya kuwania Kombe la Mpumalanga International baada ya kuchapwa mabao 2-1 na Augs...
NI APR NA RED ARROWS FAINALI KOMBE LA KAGAME 2024
Saturday, July 20, 2024
TIMU za APR ya Rwanda na Red Arrows ya Zambia jana zilifanikiwa kutinga Fainali ya Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati, maarufu kama Kombe...
Friday, July 19, 2024
AZAM FC YAFUNGA USAJILI KWA SAINI YA KIUNGO WA BELOUIZDAD
Friday, July 19, 2024
KLABU ya Azam FC imemsajili kiungo mkabaji wa Kimataifa wa Mali, Mamadou Samake (24) kwa mkataba wa miaka miwili akitokea CR Belouizdad ya A...
KAMPUNI YA MICHEZO YA KUBASHIRI YA BETWINNER YAZINDULIWA RASMI TANZANIA
Friday, July 19, 2024
Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya michezo ya kubashiri ya Betwinner, Jesse Ndambala (kushoto) akimkaribisha Mkurugenzi Mkuu wa Michezo ya B...
ONANA NA AWESU WAWASILI KAMBINI ISMAILIA SIMBA SC
Friday, July 19, 2024
VIUNGO washambuliaji, Awesu Ally Awesu (28) na Mcameroon Leandre Willy Essomba Onana (24) wamewasili mjini Ismailia nchini Misri kwenye kam...
KOCHA FADLU AANZA NA MUKWALA SIMBA MAELEKEZO YA KUTOSHA KAMBINI MISRI
Friday, July 19, 2024
KOCHA mpya wa Simba SC, Fadluraghman ‘Fadlu’ Davids (43) raia wa Afrika Kusini jana alitumia muda fulani kumpa maelekezo mshambuliaji mpya, ...
AZAM FC KUCHEZA NA WYDAD MECHI YA KIRAFIKI JULAI 29 MOROCCO
Friday, July 19, 2024
KLABU ya Azam FC inatarajiwa kuanza kucheza mechi za kirafiki katika kambi yake ya nchini Morocco kujiandaa na msimu mpya, ambao wataufungua...
YANGA SC WAWASILI SALAMA AFRIKA KUSINI KUIVAA AUGSBURG JUMAMOSI
Friday, July 19, 2024
KIKOSI cha Yanga kimewasili salama jana nchini Afrika Kusini kwa kambi ya kujiandaa na msimu itakayoambatana na mechi kadhaa za kirafiki. Ma...
Thursday, July 18, 2024
SIMBA NA YANGA AGOSTI 8 MKAPA NGAO YA JAMII, AZAM NA COASTAL NI ZANZIBAR
Thursday, July 18, 2024
MECHI za Nusu Fainali ya Ngao ya Jamii zitachezwa Agosti 8, Azam FC dhidi ya Coastal Union kuanzia Saa 10:00 jioni Uwanja wa New Amaan Compl...
Wednesday, July 17, 2024
YANGA SC KWENDA AFRİKA KUSINI KESHO KUCHEZA NA TIMU YA BUNDESLIGA
Wednesday, July 17, 2024
KIKOSI cha Yanga kinatarajiwa kuondoka nchini kesho kwenda Afrika Kusini kwa ziara ya mechi kadhaa za kirafiki, ikiwemo dhidi ya Augsburg in...
SABA KUIWAKILISHA TANZANIA OLIMPIKI YA PARIS 2024
Wednesday, July 17, 2024
KAMATI ya Olimpiki Tanzania (TOC) imetaja wanamichezo saba watakaoiwakilisha Tanzania kwenye Michezo ya Olimpiki ya Paris inayotarajiwa kuan...
AWESU ATAMBULISHWA RASMI MCHEZAJI MPYA WA SIMBA SC
Wednesday, July 17, 2024
KLABU ya Simba imemtambulisha kiungo Awesu Ally Awesu (27) kuwa mchezaji wake mpya wa 14 kuelekea msimu ujao, akijiunga na Wekundu hao wa Ms...
AISHA MASAKA AJIUNGA BRIGHTON & HOVE ALBION YA ENGLAND
Wednesday, July 17, 2024
KLABU ya Brighton & Hove Albion imemtambulisha mshambuliaji wa Kimataifa wa Tanzania, Aisha Masaka (20) kutoka BK Hacken ya Sweden kuwa ...
RED ARROWS YATINGA NUSU FAINALI KOMBE LA KAGAME
Wednesday, July 17, 2024
BAO pekee la Anthony Shipanuka dakika ya 21 jana lilitosha kuipa ushindi wa 1-0 Red Arrows ya Zambia dhidi ya Telecom ya Djobouti katika mch...
Subscribe to:
Posts (Atom)