Friday, June 14, 2024

    VIONGOZI NA MCHEZAJI TIMU YA WANAWAKE WAFUNGIWA KWA KUPIGA REFA


    VIONGOZI na Wachezaji wa klabu ya Ceasiaa Queens wamefungiwa baada ya kumshambulia refa, Agneta Isaac wa Kagera katika mchezo wa Ligi Kuu ya Wanawake Tanzania dhidi ya wenyeji, Alliance Girls Juni 11, mwaka huu Uwanja wa CCM Kirumba Jijini Mwanza.

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: VIONGOZI NA MCHEZAJI TIMU YA WANAWAKE WAFUNGIWA KWA KUPIGA REFA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry