KLABU ya Azam FC imeridhia kuondoka kwa mshambuliaji wake Mzimbabwe, Prince Mpumelelo Dube (27) kufuatia kukamilisha taratibu za kuvunja mkataba wake.
Dube alijiunga na Azam FC Agosti mwaka 2020 akitokea The Highlanders ya kwao, Bulawayo baada ya awali kuzitumikia SuperSport United na Black Leopards kwa vipindi tofauti.
0 comments:
Post a Comment