
Tuesday, April 30, 2024

KLABU ya Azam FC imemsajili kiungo mshambuliaji wao, Muivory Coast, Franck Tiesse kutoka Stade Malien ya Mali kwa mkataba wa miaka miwili ku...
SIMBA SC YAAMBULIA SARE KWA NAMUNGO FC 2-2 RUANGWA
Tuesday, April 30, 2024
WENYEJI, Namungo FC wamelazimisha sare ya kufungana bao 1-1 na Simba SC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwanja wa Majaliw...
FIFA YAIFUNGIA YANGA KUSAJILI HADI IMLIPE KAMBOLE
Tuesday, April 30, 2024
SHIRIKISHO la Soka la Kimataifa (FIFA) limeifungia klabu ya Yanga kusajili mchezaji mpya hadi hapo itakapomlipa aliyekuwa mshambuliaji wake,...
KLABU YA SWEDEN YAWASILI NCHINI KWA MWALIKO WA AZAM FC
Tuesday, April 30, 2024
KLABU AIK Stockholm ya Sweden imewasili nchini usiku huu kwa mwaliko wa Azam FC kwa ajili ya kujenga mahusiano na wenyeji wao hao. Ugeni huo...
Monday, April 29, 2024
JKT TANZANIA YAICHIMBIA KABURI MTIBWA SUGAR, YAICHAPA 2-1 MBWENI
Monday, April 29, 2024
WENYEJI, JKT Tanzania wameibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Mtibwa Sugar katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwanja wa M...
PARIMATCH YAZINDUA PROMOSHENI YA TWENZETU DUBAI ZAYLISSA, KIREDIO WAULA
Monday, April 29, 2024
MASHABIKI wa soka, tenisi, UFC, Kriketi, baseball na michezo mingine sawa wanaweza kushinda tiketi ya kwenda Dubai kwa kubashiri na kampuni ...
ZAMALEK YATINGA FAINALI KOMBE LA SHIRIKISHO AFRIKA
Monday, April 29, 2024
TIMU ya Zamalek SC ya Misri imefanikiwa kutinga Fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika baada ya ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya wenyeji, Dreams...
Sunday, April 28, 2024
MAN CITY YAIBAMIZA NOTTINGHAM FOREST 2-0 THE CITY GROUND
Sunday, April 28, 2024
MABINGWA watetezi, Manchester City wameibuka na ushindi wa 2-0 dhidi ya wenyeji, Nottingham Forest katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo ...
ARSENAL YAICHAPA SPURS 3-2 UWANJA WA TOTTENHAM HOTSPUR
Sunday, April 28, 2024
TIMU ya Arsenal imeibuka na ushindi wa mabao 3-2 dhidi ya wenyeji, Tottenham Hotspur katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Tott...
SIMBA SC YAMFUKUZA KOCHA BENCHIKA BAADA YA MIEZI MITANO KAZINI
Sunday, April 28, 2024
KLABU ya Simba imetangaza rasmi kuachana na Kocha wake Mualgeria Abdelhak Benchikha baada ya miezi mitano tu tangu ajiunge na Wekundu hao wa...
HATIMAYE PAMBA FC YAREJEA LIGI KUU, BIASHARA NA MBEYA KWANZA KUJARIBU ‘MLANGO WA UANI’
Sunday, April 28, 2024
HATIMAYE timu ya Pamba ya Mwanza imefanikiwa kurejea Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara baada ya ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya wenyeji, Mbuni FC ...
RAIS WA YANGA HERSI AMKABIDHI JEZI WAZIRI WA MICHEZO IVORY COAST
Sunday, April 28, 2024
RAIS wa Young Africans SC na Mwenyekiti wa Shirikisho la Klabu Afrika (ACA) Hersi Ally Said akimkabidhi jezi ya klabu hiyo Waziri wa Michezo...
MASHABIKI SIMBA WALIVYOJITOKEZA KUPOKEA KOMBE LA MUUNGANO
Sunday, April 28, 2024
MASHABIKI wa Simba SC waliojitokeza kuwapokea wachezaji wao baada ya kurejea kutoka Zanzíbar ambako jana walitwaa Kombe la Muungano kufuatia...
RAIS WA ZANZIBAR DK MWINYI ALIVYOWAKABIDHI SIMBA KOMBE NA ‘MAHELA’ YA MUUNGANO JANA
Sunday, April 28, 2024
RAIS wa Zanzíbar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Hassan Mwinyi akimkabidhi Kombe la Muungano Nahodha wa Simba SC, Moha...
KVZ 0-2 SIMBA SC (KOMBE LA MUUNGANO)
Sunday, April 28, 2024
SIMBA SC 1-0 AZAM FC (LIGI KUU TZ BARA)
Sunday, April 28, 2024
YANGA SC 1-0 COASTAL UNION (LIGI YA NBC TZ BARA)
Sunday, April 28, 2024
Saturday, April 27, 2024
NI SIMBA SC MABINGWA WA KWANZA MUUNGANO CUP, WAICHAPA AZAM 1-0 ZANZÍBAR
Saturday, April 27, 2024
TIMU ya Simba SC imefanikiwa kutwaa Kombe la Muungano baada ya ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Azam FC katika mchezo wa Fainali usiku huu Uwanja...
YANGA SC YAICHAPA COASTAL UNION 1-0 CHAMAZI BAO LA GUEDE
Saturday, April 27, 2024
MABINGWA watetezi, Yanga SC wameibuka na ushindi wa 1-0 dhidi ya Coastal Unión katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwanja wa ...
MAN UNITED YAAMBULIA SARE 1-1 KWA BURNLEY
Saturday, April 27, 2024
WENYEJI, Manchester United wamelazimishwa sare ya kufungana bao 1-1 na Burnley FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Old Tra...
LIVERPOOL YATOA DROO 2-2 NA WEST HAM UNITED LONDON
Saturday, April 27, 2024
MATUMAINI ya Liverpool kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya England yamezidi kufifia baada ya leo kulazimishwa sare ya kufungana mabao 2-2 na wenye...
NI AL AHLY NA ESPERANCE FAINALI LIGI YA MABINGWA AFRIKA
Saturday, April 27, 2024
MABINGWA watetezi, Al Ahly wamefanikiwa kwenda Fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Tout Puissant Mazem...
Friday, April 26, 2024
DODOMA JIJI YAICHAPA KMC 1-0 UWANJA WA JAMHURI
Friday, April 26, 2024
BAO pekee la mshambuliaji Paul Peter Kasunda dakika ya tisa limeipa Dodoma Jiji FC ushindi wa 1-0 dhidi ya KMC katika mchezo wa Ligi Kuu ya ...
STRAIKA MRUNDI AIPONZA TABORA UNITED YAFUNGIWA TENA KUSAJILI
Friday, April 26, 2024
SHIRIKISHO la Soka la Kimataifa (FIFA) limeifungia klabu ya Tabora United kufanya usajili wa mchezaji mpya hadi hapo itakapomlipa madai yake...
MAN CITY YAICHAPA 4-0 BRIGHTON & HOVE ALBION
Friday, April 26, 2024
MABINGWA watetezi, Manchester City wameibuka na ushindi mabao 4-0 dhidi ya wenyeji, Brighton & Hove Albion Uwanja wa The Amex, Falmer, E...
Thursday, April 25, 2024
AZAM YAICHAPA KMKM 5-2 NA KUTINGA FAINALI KOMBE LA MUUNGANO
Thursday, April 25, 2024
TIMU ya Azam FC imefanikiwa kutinga Fainali ya Kombe la Muungano baada ya ushindi wa mabao 5-2 dhidi ya KMKM katika mchezo wa Nusu Fainali u...
SIMBA QUEENS YAIKANYAGA YANGA PRINCES 3-1 CHAMAZI
Thursday, April 25, 2024
TIMU ya Simba Queens imeendeleza ubabe kwa watani wao, Yanga Princess baada ya kuwachapa mabao 3-1 katika mchezo wa Ligi Kuu ya Wanawake Tan...
SERIKALI YASAINI MKATABA WA BILIONI 19.7 KUKARABATI UWANJA WA UHURU
Thursday, April 25, 2024
SERIKALI ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imesaini mkataba na Kampuni ya China Railway Construction Engineering Group (CRCEG) kwa ajili ya...
MAN UNITED YAICHIMBIA KABURI SHEFFIELD UNITED, YAICHAPA 4-2
Thursday, April 25, 2024
WENYEJI, Manchester United wameibuka na ushindi wa mabao 4-2 dhidi ya Sheffield United katika mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa kuamkia...
LIVERPOOL UBINGWA HAUWATAKI, WATANDIKWA 2-0 NA EVERTON
Thursday, April 25, 2024
WENYEJI, Everton wameibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya mahasimu wao, Liverpool katika mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa kuamkia l...
Wednesday, April 24, 2024
FREDDY MICHAEL KOUBLAN AIPELEKA SIMBA FAINALI MUUNGANO CUP
Wednesday, April 24, 2024
TIMU ya Simba SC imefanikiwa kwenda Fainali ya Kombe la Muungano baada ya ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya wenyeji, KVZ katika mchezo wa Nusu F...
YANGA SC YATOKA PATUPU ISAMUHYO, 0-0 NA JKT TANZANIA
Wednesday, April 24, 2024
MABINGWA watetezi, Yanga SC wamepunguzwa kasi baada ya kulazimishwa sare ya bila mabao na wenyeji, JKT Tanzania katika mchezo wa Ligi Kuu ya...
ARAJIGA AIFUATA SIMBA SC KOMBE LA MUUNGANO ZANZIBAR
Wednesday, April 24, 2024
REFA Ahmed Arajiga wa Manyara ni miongoni mwa waamuzi watatu wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara walioteuliwa kuchezesha Kombe la Muungnao, mic...
YANGA NA TABORA MEI MOSI CRDB BANK FEDERATION CUP
Wednesday, April 24, 2024
MABINGWA watetezi, Yanga SC watamenyana na Tabora United Mei 1 katika Robo Fainali ya Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), michuano a...
YANGA YAINGIA MAKUBALIANO YA USHIRIKA NA ATCL
Wednesday, April 24, 2024
KLABU ya Yanga leo imeingia makubaliano ya ushirika na Shirika la Ndege la Air Tanzania (ATCL) ambapo utazinufaisha pande zote mbili. Kwa mu...
KAI APIGA MBILI ARSENAL YAICHAPA CHELSEA 5-0
Wednesday, April 24, 2024
WENYEJI, Arsenal wameibuka na ushindi mnono dhidi ya Chelsea wa mabao 5-0 usiku huu katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Emirates ...
Tuesday, April 23, 2024
MECHI YA JKT TANZANIA NA YANGA YAAHIRISHWA UWANJA MAJI MENGI
Tuesday, April 23, 2024
MCHEZO wa l Kuu ya NBC Tanzania Bara baina ya mabingwa watetezi, Yanga SC na wenyeji, JKT Tanzania uliopangwa kufanyika jioni ya leo Uwanja ...
Monday, April 22, 2024
TANZANIA PRISONS NA KAGERA SUGAR HAKUNA MBABE, 0-0 SOKOINE
Monday, April 22, 2024
WENYEJI, Tanzania Prisons wamelazimishwa sare ya bila mabao na Kagera Sugar katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwanja wa Sok...
BODI YAAHIRISHA MECHI ZA SIMBA NA AZAM, YAZIADHIBU TABORA, JKT NA KMC
Monday, April 22, 2024
BODI ya Ligi Kuu (TPLB) imeahirisha mechi kadhaa za Azam na Simba ili kuzipa fursa ya kushiriki michuano ya Kombe la Muungano inayotarajiwa ...
Subscribe to:
Posts (Atom)