
Monday, December 30, 2024

KOCHA wa JKT Tanzania, Ahmad Ally amepewa jukumu la kukiongoza kikosi cha timu ya taifa ya Tanzania Bara ‘Kilimanjaro Stars’ katika michuano...
MAHOJIANO BIN ZUBEIRY NA ATHUMANI CHABABA, BEKI WA ZAMANI WA PILSNER
Monday, December 30, 2024
YANGA SC 5-0 FONTAIN GATE (LIGI KUU YA NBC TZ BARA)
Monday, December 30, 2024
Sunday, December 29, 2024
COASTAL UNION YAAMBULIA SARE KWA KMC, 1-1 ARUSHA
Sunday, December 29, 2024
WENYEJI, Coastal Union wametoka sare ya kufungana bao 1-1 na KMC FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara jioni ya leo Uwanja wa Sh...
PACOME AFUNGA MAWILI YANGA YAICHAPA FOUNTAIN GATE 5-0
Sunday, December 29, 2024
MABINGWA watetezi, Yanga wameibuka na ushindi wa mabao 5-0 dhidi ya Fountain Gate katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara jioni ya le...
M-BET, HALOPESA WAANZA KUMWAGA ZAWADI ZA WASHINDI WA KAMPENI YA AMSHA AMSHA
Sunday, December 29, 2024
KAMPUNI ya michezo ya kubashiri ya M-Bet kwa kushirikiana na kampuni ya simu ya Halotel kupitia HaloPesa zimezawadia washindi wa kwanza wa ...
Saturday, December 28, 2024
DODOMA JIJI FC YAIKUNG’UTA MASHUJAA 3-1 JAMHURI
Saturday, December 28, 2024
WENYEJI, Dodoma Jiji wameibuka na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Mashujaa FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara usiku wa leo Uwan...
SINGIDA BLACK STARS 0-1 SIMBA SC (LIGI KUU YA NBC TZ BARA)
Saturday, December 28, 2024
SIMBA SC YAENDELEZA WIMBI LA USHINDI LIGI KUU, YAICHAPA SINGIDA 1-0 LITI
Saturday, December 28, 2024
TIMU ya Simba SC imeibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya wenyeji, Singida Black Stars katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwa...
Friday, December 27, 2024
UONGOZI WA BAO WAOMBA RAIS SAMIA AMSAIDIE MATIBABU RAIS WAO
Friday, December 27, 2024
UONGOZI wa Shirikisho la Mchezo wa Bao Tanzania (SHIMBATA) umemuomba Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk Samia Suluhu Hassan kumsaid...
AZAM FC YATOKA NYUMA NA KUICHAPA JKT TANZANIA 3-1 CHAMAZI
Friday, December 27, 2024
WENYEJI, Azam FC wametoka nyuma kwa bao moja na kushinda mabao 3-1 dhidi ya JKT Tanzania katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara usik...
SERENGTI BOYS YACHAPWA 2-1, UGANDA NDIO MABINGWA CECAFA U17
Friday, December 27, 2024
WENYEJI, Uganda wamefanikiwa kutwaa ubingwa wa Kombe la Mataifa ya Afrika Mashariki na Kati kwa vijana chini ya umri wa miaka 17 (CECAFA U17...
Thursday, December 26, 2024
TANZANIA PRISONS YAICHAPA PAMBA JIJI 1-0 UWANJA WA SOKOINE
Thursday, December 26, 2024
TIMU ya Tanzania Prisons imeibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Pamba Jiji ya Mwanza katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara jioni y...
Wednesday, December 25, 2024
DODOMA JIJI 0-4 YANGA SC (LIGI KUU YA NBC TZ BARA)
Wednesday, December 25, 2024
MZIZE AWEKA MBILI NYAVUNI YANGA YAICHAPA DODOMA JIJI 4-0 JAMHURI
Wednesday, December 25, 2024
MABINGWA watetezi, Yanga wameendeleza wimbi la ushindi katika Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara baada ya kuwachapa wenyeji, Dodoma Jiji mabao 4-...
NAMUNGO FC YAICHAPA FOUNTAIN GATE 2-1 PALE PALE BABATI
Wednesday, December 25, 2024
TIMU ya Namungo FC imeibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya wenyeji, Fountain Gate katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara Uwanja wa...
SIMBA SC 1-0 JKT TANZANIA (LIGI KUU YA NBC TZ BARA)
Wednesday, December 25, 2024
Tuesday, December 24, 2024
SIMBA SC YAJITANUA KILELENI LIGI KUU, YAICHAPA JKT TANZANIA 1-0 MWENGE
Tuesday, December 24, 2024
TIMU ya Simba SC imeendeleza wimbi la ushindi katika Ligi Kuu ya Tanzania Bara baada ya ushindi wa bao 1-0 dhidi ya JKT Tanzania leo Uwanja ...
SERENGETI BOYS YAFUZU AFCON 2025 BAADA YA KUCHAPA SUDAN KUSINI 4-0
Tuesday, December 24, 2024
TIMU ya taifa ya vijana Tanzania chini ya umri wa miaka 17, Serengeti Boys imefanikiwa kukata tiketi ya AFCON U17 2025 nchini Morocco baada ...
SINGIDA BLACK STARS YAICHIMBIA KABURI KENGOLD, YAICHAPA 2-1 LITI
Tuesday, December 24, 2024
WENYEJI, Singida Black Stars wametoka nyuman na kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Kengold FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Ba...
Monday, December 23, 2024
ZUBERI FOBA MASUDI AONGEZA MKATABA AZAM FC HADI 2027
Monday, December 23, 2024
KLABU ya Azam imemuongeza mkataba wa miaka miwili kipa wake wa pili, Zuberi Foba Masudi ambao utamfanya aendelee kuitumikia timu ya Bilionea...
Sunday, December 22, 2024
YANGA SC 4-0 TANZANIA PRISONS (LIGI KUU YA NBC TZ BARA )
Sunday, December 22, 2024
YANGA SC YAICHAPA TANZANIA PRISONS 4-0 MWENGE
Sunday, December 22, 2024
MABINGWA watetezi, Yanga SC wameibuka na ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya Tanzania Prisons katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara jioni...
KAGERA SUGAR 2-5 SIMBA SC (LIGI KUU YA NBC TZ BARA)
Sunday, December 22, 2024
Saturday, December 21, 2024
MUKWALA APIGA MBILI SIMBA YAICHAPA KAGERA SUGAR 5-2 BUKOBA
Saturday, December 21, 2024
TIMU ya Simba SC imeibuka na ushindi wa mabao 5-2 dhidi ya wenyeji, Kagera Sugar katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara Uwanja wa Ka...
Friday, December 20, 2024
NAMUNGO FC YAAMBULIA SULUHU KWA JKT TANZANIA RUANGWA
Friday, December 20, 2024
WENYEJI, Namungo FC wamelazimishwa sare ya bila mabao na JKT Tanzania katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara usiku huu Uwanja wa Maj...
KOCHA MOROCCO AITA 30 KUUNDA ZANZIBAR HEROES YA KOMBE LA MAPINDUZI
Friday, December 20, 2024
KOCHA Hemed Suleiman ‘Morocco’ ameita wachezaji 30 kuunda kikosi cha timu ya Taifa ya Zanzibar itakayoshiriki michuano ya Kombe la Mapinduzi...
Thursday, December 19, 2024
YANGA SC 3-2 MASHUJAA FC (LIGI KUU YA NBC TZ BAEA)
Thursday, December 19, 2024
DUBE APIGA HAT TRICK YANGA YASHINDA 3-2 DHIDI YA MASHUJAA MWENGE
Thursday, December 19, 2024
MABINGWA watetezi, Yanga SC wameibuka na ushindi wa mabao 3-2 dhidi ya Mashujaa FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwanja...
SIMBA SC 2-0 KEN GOLD (LIGI KUU YA NBC TZ BARA)
Thursday, December 19, 2024
Wednesday, December 18, 2024
ATEBA APIGA ZOTE MBILI SIMBA SC YAICHAPA KEN GOLD 2-0 MWENGE
Wednesday, December 18, 2024
TIMU ya Simba SC imeibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Ken Gold ya Mbeya katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara baada ya jion...
VINICIUS MWANASOKA BORA WA MWAKA WA FIFA, ANCELOTTI KOCHA BORA
Wednesday, December 18, 2024
MSHAMBULIAJI wa Kimataifa wa Brazil na klabu ya Real Madrid ya Hispania, Vinícius Junior ameshinda Tuzo ya Mwanasoka Bora wa Mwaka ya 2024 a...
Tuesday, December 17, 2024
WASHINDI WA SHANGWE LA SIKUKUU LA LEONBET WAPATIKANA, WABEBA PIKIPIKI, SMARTPHONE NA TV INCHI 65
Tuesday, December 17, 2024
KAMPUNI ya michezo ya kubashiri ya LEONBET imewazadia washindi wa kampeni ya Shangwe la Sikukuu zawadi kibao kwa kushiriki kampeni hiyo. ...
AZAM FC WAIPIGA FOUNTAIN GATE 2-0 NA KUJITANUA KILELENI LIGI KUU
Tuesday, December 17, 2024
WENYEJI, Azam FC wametanua mbawa kileleni mwa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara baada ya ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Fountain Gate katika mche...
TABORA UNITED YAAMBULIA SARE KWA COASTAL UNION, 1-1 ‘KWA MWINYI’
Tuesday, December 17, 2024
WENYEJI, Tabora United wamepunguzwa kasi baada ya kutoa sare ya kufungana bao 1-1 na Coastal Union katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania...
ADEMOLA LOOKMAN NA BABRA BANDA NDIO WANASOKA BORA AFRIKA 2024
Tuesday, December 17, 2024
MSHAMBULIAJI wa Atalanta ya Italia, Mnigeria, Ademola Lookman ameshinda Tuzo ya Mwanasoka Bora wa Mwaka Afrika kwa wanaume. Lookman amewaang...
Monday, December 16, 2024
KMC YAICHAPA PAMBA 1-0 BAO LA HANCE DAKIKA ZA JIOONII
Monday, December 16, 2024
BAO la dakika ya 88 la beki Hance Masoud Msonga limeipa KMC ushindi wa 1-0 dhidi ya Pamba Jiji katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Ba...
SINGIDA BLACK STARS YAICHAPA TANZANIA PRISONS 2-0 SOKOINE
Monday, December 16, 2024
TIMU ya Singida Black Stars imeibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya wenyeji, Tanzania Prisons katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Ba...
Sunday, December 15, 2024
JKT TANZANIA NA MASHUJAA NGUVU SAWA MBWENI, 0-0
Sunday, December 15, 2024
TIMU za JKT Tanzania na Mashujaa zimegawana pointi kwa sare ya bila kufungana katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara jioni ya leo Uw...
KIBU DENNIS SHUJAA…SIMBA YAIKANDA SFAXIEN 2-1 ‘KWA MKAPA’
Sunday, December 15, 2024
WENYEJI, Simba SC wametoka nyuma na kushinda 2-1 dhidi ya CS Sfaxien ya Tunisia katika mchezo wa mwisho mzunguko wa kwanza Kundi A Kombe la ...
NAMUNGO FC YATOKA NYUMA KWA MABAO MAWILI NA KUICHAPA KEN GOLD 3-2 SOKOINE
Sunday, December 15, 2024
TIMU ya Namungo FC imetoka nyuma kwa mabao mawili na kushinda 3-2 dhidi ya wenyeji, Ken Gold katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara ...
Saturday, December 14, 2024
YANGA YAOKOTA POINTI YA KWANZA LIGI YA MABINGWA, 1-1 NA MAZEMBE LUBUMBASHI
Saturday, December 14, 2024
BAO la dakika ya 90'+4 la mshambuliaji Mzimbabwe, Prince Dube Mpumelelo limeinusu Yanga kupoteza mechi ikipata sare ya 1-1 na wenyeji, T...
Friday, December 13, 2024
MAKAMBO AFUNGA MABAO MAWILI TABORA UNITED YAICHAPA AZAM FC 2-1
Friday, December 13, 2024
WENYEJI, Tabora United wameibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Azam FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara Uwanja wa Ali Hassa...
FOUNTAIN GATE YAICHAPA COASTAL UNION 3-2 TANZANITE KWARAA
Friday, December 13, 2024
WENYEJI, Fountain Gate wameibuka na ushindi wa mabao 3-2 dhidi ya Coastal Union katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwanja wa...
Thursday, December 12, 2024
KMC NA MASHUJAA NGOMA NGUMU MWENGE, ZAGAWANA POINTI KWA SARE YA 0-0
Thursday, December 12, 2024
WENYEJI, KMC wametoka suluhu na Mashujaa FC ya Kigoma katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara Uwanja wa Halmashauri ya Manispaa ya Ki...
SINGIDA BLACK STARS YAIBANJUA DODOMA JIJI 2-1 BAO ZOTE KAPIGA RUPIA
Thursday, December 12, 2024
TIMU ya Singida Big Stars imeibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Dodoma Jiji FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwanja...
Wednesday, December 11, 2024
KAGERA SUGAR YAAMBULIA SARE KWA NAMUNGO, 1-1 KAITABA
Wednesday, December 11, 2024
WENYEJI, Kagera Sugar wamelazimishwa sare ya kufungana bao 1-1 na Namungo FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara Uwanja wa Kaitab...
PAMBA JIJI YAWABANA JKT TANZANIA, MECHI YAISHA KWA SARE YA 0-0 MBWENI
Wednesday, December 11, 2024
WENYEJI, JKT Tanzania wamelazimishwa sare ya bila mabao na Pamba Jiji ya Mwanza katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara jioni leo Uwa...
M-BET, HALOPESA KUWAZAWADIA MASHABIKI WA SOKA KUPITIA KAMPENI YA AMSHA AMSHA
Wednesday, December 11, 2024
MASHABIKI wa soka wa Tanzania, sasa wanaweza kujishindia zawadi mbalimbali ikiwa pamoja na fedha kupitia kampeni ya Amsha Amsha iliyozindul...
YANGA SC YAMSAJILI BEKI WA ZAMANI WA SIMBA ISRAEL PATRICK MWENDA
Wednesday, December 11, 2024
KLABU ya Yanga imetangaza kumsajili kiungo anayeweza kucheza nafasi za ulinzi hususan beki wa kulia, Israel Patrick Mwenda (24) kutoka Singi...
Subscribe to:
Posts (Atom)