
Tuesday, October 31, 2023

TIMU ya taifa ya wanawake’Twiga Starst’ imefanikiwa kwenda Raundi ya Tatu ya mchujo wa kuwania tiketi ya Fainali za Michezo ya Olimpiki mwak...
BALOZI DAVID CONCAR AWATEMBELEA NA SIMBA SC MAZOEZINI
Tuesday, October 31, 2023
MWENYEKITI wa Bodi ya Wakurugenzi ya Simba SC, Salum Abdallah Muhene ‘Try Again’ (kushoto) akimkabidhi Balozi wa Uingereza nchini Tanzania, ...
BALOZI WA UINGEREZA AHUDHURIA MAZOEZI YANGA SC
Tuesday, October 31, 2023
RAIS wa Yanga SC, Hersi Said akimkabidhi zawadi ya Jezi ya Mabingwa hao wa kihistoria wa Tanzania, Balozi wa Uingereza nchini Tanzania, Davi...
IBRAHIM MAO AIUA MTIBWA UHURU, KMC YANG’ARA LIGI KUU
Tuesday, October 31, 2023
BAO pekee la Ibrahim Mao dakika ya 15 limetosha kuipa KMC ushindi wa 1-0 dhidi ya Mtibwa Sugar katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bar...
NI MESSI TENA MSHINDI WA BALLON D'OR 2023, HAALAND NA MBAPPE...
Tuesday, October 31, 2023
GWIJI wa Argentina, Lionel Andrés Messi wa Inter Miami usiku wa jana amefanikiwa kushinda tuzo yake ya nane ya Ballon d'Or akiwaangusha ...
Monday, October 30, 2023
KAGERA SUGAR YALAZIMISHWA SARE YA BILA MABAO NA TABORA UNITED KAITABA
Monday, October 30, 2023
WENYEJI, Kagera Sugar wamelazimishwa sare ya 0-0 na Tabora United katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara leo Uwanja wa Kaitaba mjini Buk...
DODOMA JIJI YAICHAPA JKT TANZANIA 1-0 AZAM COMPLEX
Monday, October 30, 2023
BAO pekee la Paul Peter dakika ya 71 limeipa Dodoma Jiji FC ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, JKT Tanzania katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC T...
TANZANIA PRISONS YALAZIMISHWA SARE 0-0 NA GEITA GOLD SOKOINE
Monday, October 30, 2023
WENYEJI, Tanzania Prisons wamelazimishwa sare ya 0-0 na Geita Gold katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwanja wa Sokoine Jiji...
AZAM FC YAMUONGEZA MKATABA YAHYA ZAYD HADI 2026
Monday, October 30, 2023
KLABU ya Azam FC imemsainisha mkataba mpya wa miaka miwili na kiungo wake mshambuliaji, Yahya Zaid, ambao utamfanya aendelea kusalia kwenye ...
Sunday, October 29, 2023
HAALAND AWAWEKA MBILI MAN U CITY YAUA SHETANI 3-0
Sunday, October 29, 2023
WENYEJI, Manchester United wamekutana na kichapo cha mabao 3-0 kutoka kwa mahasimu wao wa Jiji, Manchester City katika mchezo wa Ligi Kuu ya...
LIVERPOOL YAIFUMUA NOTTINGHAM FOREST 3-0 ANFIELD
Sunday, October 29, 2023
WENYEJI, Liverpool wameibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Nottingham Forest katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Anfield J...
RAIS WA HESHIMA MO DEWJI AUNDA ‘SERIKALI MPYA’ SIMBA SC
Sunday, October 29, 2023
RAIS wa Heshima wa Simba, Mohamed ‘Mo’ Dewji ameunda Baraza jipya la Ushauri la klabu chini ya Mwenyekiti Jaji Thomas Mihayo na Wajumbe 20, ...
JOB, MAX AZIZ KI KUWANIA TUZO YA MCHEZAJI BORA YANGA
Sunday, October 29, 2023
BEKI mzawa, Dickson Nickso Job atachuana na viungo wageni, Mburkinabe Stephane Aziz Ki na Mkongo Max Mpia Nzengeli kuwania Tuzo ya Mchezaji ...
MCAMEROON AMKALISHA TYSON FURY, LAKINI APOTEZA PAMBANO KWA POINTI
Sunday, October 29, 2023
BONDIA Muingereza, Tyson Fury amefanikiwa kutetea taji lake WBC uzito wa juu baada ya ushindi wa pointi dhidi ya Mfaransa mwenye asili ya Ca...
KEN GOLD YAREJEA KILELEMI LIGI YA CHAMPIONSHIP
Sunday, October 29, 2023
TIMU ya Ken Gold ya Mbeya jana imefanikiwa kupanda kileleni mwa Ligi ya NBC Championship baada ya ushindi wa mabao 2-0 ugenini dhidi ya Bias...
SIMBA SC 2-0 IHEFU SC (LIGI KUU TZ BARA)
Sunday, October 29, 2023
YANGA SC 2-0 SINGIDA BIG STARS (LIGI KUU TZ BARA)
Sunday, October 29, 2023
Saturday, October 28, 2023
SIMBA SC YAICHAPA IHEFU SC 2-1 NA KUIKAMATA YANGA KWA POINTI
Saturday, October 28, 2023
TIMU ya Simba SC imeibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Ihefu SC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara uliofanyika Uwanja wa Ben...
BRENTFORD YAWACHAPA CHELSEA 2-0 PALE PALE STAMFORD BRIDGE
Saturday, October 28, 2023
WENYEJI, Chelsea wamechapwa Mabao 2-0 na Brentford katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Stamford Bridge Jijini London. Mabao y...
EDDIE NKETIAH APIGA HAT TRICK ARSENAL YASHINDA 5-0
Saturday, October 28, 2023
WENYEJI, Arsenal wameibuka na ushindi wa mabao 5-0 dhidi ya Sheffield United katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Emirates Jij...
PAMBA FC YATOA SARE NA MBEYA KWANZA 1-1 MTWARA
Saturday, October 28, 2023
WENYEJI, Mbeya Kwanza jana wamelazimishwa sare ya kufungana bao 1-1 na Pamba FC ya Mwanza katika mchezo wa Ligi ya NBC Championship Uwanja w...
NAMUNGO FC YAICHAPA AZAM 3-1 PALE PALE CHAMAZI
Saturday, October 28, 2023
WENYEJI, Azam FC jana wamechapwa mabao 3-1 na Namungo FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara Uwanja wa Azam Complex, Chamazi Jiji...
Friday, October 27, 2023
YANGA SC YAWACHAPA SINGIDA BIG STARS 2-0 ZOTE KAPIGA MAX
Friday, October 27, 2023
MABINGWA watetezi, Yanga SC wameibuka na ushindi wa 2-0 dhidi ya Singida Big Stars katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwanja...
KMC YAAMBULIA SARE 1-1 NA TANZANIA PRISONS UHURU
Friday, October 27, 2023
WENYEJI, KMC wamelazimishwa sare ya kufungana bao 1-1 na Tanzania Prisons katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwanja wa Uhuru...
LIVERPOOL YAICHAPA TOULOUSE 5-1 EUROPA LEAGUE
Friday, October 27, 2023
TIMU ya Liverpool imeibuka na ushindi wa mabao 5-1 dhidi ya Toulouse ya Ufaransa katika mchezo wa Kundi E UEFA Europa League usiku wa kuamki...
Thursday, October 26, 2023
NYOTA WA ULAYA WAING’ARISHA TWIGA STARS KUFUZU OLIMPIKI 2024
Thursday, October 26, 2023
TIMU ya taifa ya wanawake ‘Twiga Starst’ imeibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Botswana mchezo wa kwanza wa Raundi ya Pili kufuzu Olimpi...
MTIBWA SUGAR YAZINDUKA NA KUICHAPA GEITA GOLD 3-1
Thursday, October 26, 2023
TIMU ya Mtibwa Sugar imeibuka na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Geita Gold katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwanja wa Manun...
HAALAND APIGA MBILI MAN CITY YASHINDA 3-1 LIGI YA MABINGWA
Thursday, October 26, 2023
MABINGWA watetezi, Manchester City FC wameibuka na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya wenyeji, BSC Young Boys katika mchezo wa Kundi G Ligi ya M...
Wednesday, October 25, 2023
DODOMA JIJI YAILAZA KAGERA SUGAR 1-0 JAMHURI
Wednesday, October 25, 2023
BAO pekee la Christian Zigah dakika ya 40 limeipa Dodoma Jiji FC ushindi wa 1-0 dhidi ya Kagera Sugar katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanza...
COASTAL UNION YAICHAPA MASHUJAA FC 2-0 MKWAKWANI
Wednesday, October 25, 2023
TIMU ya Coastal Unión ya Tanga imeibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Mashujaa FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwan...
JKT TANZANIA YAICHAPA TABORA UNITED 1-0 CHAMAZI
Wednesday, October 25, 2023
TIMU ya JKT Tanzania imeibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Tabora United katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwanja wa Azam...
AL AHLY 1-1 SIMBA SC (AFRICAN FOOTBALL LEAGUE)
Wednesday, October 25, 2023
MAGUIRE AFUNGA, ONANA AOKOA PENALTI MAN U YASHINDA ULAYA
Wednesday, October 25, 2023
WENYEJI, Manchester United jana wamepata ushindi wa kwanza katika hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Ulaya baada ya kuilaza Copenhagen 1-0...
Tuesday, October 24, 2023
SIMBA SC YAFA KIUME CAIRO, YATOLEWA KWA MABAO YA UGENINI
Tuesday, October 24, 2023
TIMU ya Simba SC imetupwa nje ya michuano mipya ya Ligi ya Soka Afrika (AFL) licha ya sare ya kufungana bao 1-1 na wenyeji, Al Ahly katika m...
YANGA SC 3-2 AZAM FC (LIGI KUU YA TZ BARA)
Tuesday, October 24, 2023
Monday, October 23, 2023
AZIZ KI APIGA HAT TRICK YANGA YAICHAPA AZAM FC 3-2 NA KUREJEA KILELENI LIGI KUU
Monday, October 23, 2023
MABINGWA watetezi, Young Africans wameibuka na ushindi wa mabao 3-2 dhidi ya Azam FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara usiku hu...
NYOTA WA SIMBA SC KRAMO AFANYIWA UPASUAJI TUNISIA
Monday, October 23, 2023
WINGA wa kushoto Muivory Coast wa Simba SC, Aubin Kramo Kouamé amefanyiwa upasuaji wa goti katika Hospitali ya El Yosr Internationale Sousse...
RASMI, ZUBERI KATWILA AREJEA MTIBWA SUGAR
Monday, October 23, 2023
RASMI Mtibwa Sugar imemtambulisha Zuberi Katwila kurejea kwenye klabu hiyo kama Kocha Mkuu kufuatia kuachana na Habib Kondo aliyeoiongoza ti...
SIMBA SC 2-2 AL AHLY (AFRICAN FOOTBALL LEAGUE)
Monday, October 23, 2023
Sunday, October 22, 2023
SARE ZATAWALA MECHI ZA LIGI KUU LRO MBEYA NA TABORA
Sunday, October 22, 2023
WENYEJI, Tanzania Prisons wamelazimishwa sare ya kufungana bao 1-1 na JKT Tanzania katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwanja...
KAZE AAMUA KUACHIA NGAZI NAMUNGO FC
Sunday, October 22, 2023
MRUNDI Cedric Kaze amejiuzulu Ukocha Mkuu wa Namungo FC baada ya mechi sita tu za msimu kutokana na mwendendo usioridhisha katika Ligi Kuu y...
MAN UNITED YAWAKANDA VIBONDE SHEFFIELD UNITED 2-1 BRAMALL
Sunday, October 22, 2023
TIMU ya Manchester United imeibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Sheffield United katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jana Uwanja wa Bra...
Saturday, October 21, 2023
CHELSEA YATOA SARE 2-2 NA ARSENAL STAMFORD BRIDGE
Saturday, October 21, 2023
WENYEJI, Chelsea wamelazimishwa sare ya kufungana mabao 2-2 na Arsenal katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Stamford Bridge Ji...
SINGIDA BIG STARS YAIPIGA NAMUNGU 3-2 MAJALIWA
Saturday, October 21, 2023
TIMU ya Singida Big Stars imeibuka na ushindi wa mabao 3-2 dhidi ya wenyeji, Namungo FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo U...
MANCHESTER CITY YAICHAPA BRIGHTON & HOVE ALBION 2-1 ETIHAD
Saturday, October 21, 2023
MABINGWA watetezi, Manchester City FC wameibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Brighton & Hove Albion katika mchezo wa Ligi Kuu ya Eng...
SALAH APIGA ZOTE LIVERPOOL YAICHAPA EVERTON 2-0 ANFIELD
Saturday, October 21, 2023
WENYEJI, Liverpool FC wameibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Everton katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Anfield Jijini L...
AZAM ACADEMY YAANZA NA MOTO LIGI YA VIJANA U20, YANGA...
Saturday, October 21, 2023
TIMU ya Azam FC imeanza vyema Ligi ya Vijana U20 baada ya ushindi wa mabao 5-0 dhidi ya Tanzania Prisons leo Uwanja wa Azam Complex, Chamazi...
PAMBA FC YAICHAPA TRANSIT CAMP 2-1, KEN GOLD NA MBEYA KWANZA HAZISHIKIKI
Saturday, October 21, 2023
TIMU ya Pamba FC imeibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Transit Camp katika mchezo wa Ligi ya NBC Championship leo Uwanja wa Nyamagana Ji...
IHEFU SC YALAZIMISHWA SULUHU NA COASTAL UNION MBARALI
Saturday, October 21, 2023
WENYEJI, Ihefu SC wamelazimishwa sare ya bila kufungana na Coastal Union ya Tanga katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara Uwanja wa H...
VINCENT BARNABAS AREJEA YANGA KAMA KOCHA WA U20
Saturday, October 21, 2023
KLABU ya Yanga SC imemtambulisha mchezaji wake wa zamani, Vincent Barnabas Salamba kuwa kocha wake mpya Mkuu wa timu yao ya vijana chini ya ...
MAKOCHA AZAM ACADEMY WAZUIA KUFANYA KAZI LIGI YA VIJANA U20
Saturday, October 21, 2023
MAKOCHA wa timu ya vijana ya Azam FC, Mohamed Badru Juma na Msaidizi wake, Mwalu Hashim Ilunga wamezuiwa kufundisha timu hiyo katika Ligi ya...
Subscribe to:
Posts (Atom)