• HABARI MPYA

        Sunday, September 17, 2023

        SINGIDA YAWACHAPA WAMISRI 1-0 KOMBE LA SHIRIKISHO CHAMAZI


        TIMU ya Singida Fountain Gate imeibuka na ushindi wa 1-0 dhidi ya Future ya Misri katika mchezo wa kwanza Hatua ya mwisho ya kuwania kuingia hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika.
        Bao pekee la Singida Fountain Gate limefungwa na Elvis Rupia dakika ya 53 na timu hizo zitarudiana wiki ijayo Jijini Cairo na mshindi wa jumla atakwenda hatua ya makundi ya michuano hiyo .
        • Blogger Comments
        • Facebook Comments

        0 comments:

        Item Reviewed: SINGIDA YAWACHAPA WAMISRI 1-0 KOMBE LA SHIRIKISHO CHAMAZI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry